Siyo kulopoka ndugu yangu nimeeleza ukweli tu kama mutu alikopeshwa pesa NSSF hajarudisha paka leo kwanini asiitwe FISADI kinachokukera ni nini una share hapo kwa mbowe? au ni DJ mwenzio tueleze ili tufahamuWewe Ipole mbona unaropoka? watu wanatoapoint za maana wewe unakurupuka, oh, Mbowe ni kifisadi!!!! Toa point kwanza kisha umalizie na bifu lako na Mbowe. Hoja kwanza kama huna kaa kimya!!! Umeniudhi sana. By the way mimi si mshabiki wa Mbowe if you need to know