Mnyika anaacha bapa mezani anaenda msalani, anamuachia Mwigulu na anarudi anakunywa kwa amani

Mnyika anaacha bapa mezani anaenda msalani, anamuachia Mwigulu na anarudi anakunywa kwa amani

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Aisee nimetoka kusikiliza wimbo wa ROMA wa Nipeni Maua yangu ambao umetoka leo. Mashairi yake yana maneno mengi mazuri kama mnavyojua ROMA

Kwenye suala la amani, amesema anatamani kuona viongozi wanaacha pombe mezani na wakirudi wanakunywa kwa amani. Japo hili limeniwazisha, kwamba mkiachaga bia mezani mkirudi huwa hamnywi, sasa kwanini mnakaa pamoja?

Ameigiza sauti ya Magufuli: Jimbo hili haliendelei kwa kuwa mmemchagua mpinzani, sasa ni chama tawale, fauluni huo mtihani
Hii amewaambia CCM ambao kwa sasa wanamajimbo mengi yako wapi maendeleo ikiwa awali upinzani ndio ulionekana kikwazo

Well sentence nyingine, ni pale aliposema: Nikupe bodaboda yangu, unipe uwaziri ili uone ninachopitia

Naendelea kusikiliza ngoma huku nikitafsiri zaidi
 
Aisee nimetoka kusikiliza wimbo wa ROMA wa Nipeni Maua yangu ambao umetoka leo. Mashairi yake yana maneno mengi mazuri kama mnavyojua ROMA

Kwenye suala la amani, amesema anatamani kuona viongozi wanaacha pombe mezani na wakirudi wanakunywa kwa amani. Japo hili limeniwazisha, kwamba mkiachaga bia mezani mkirudi huwa hamnywi, sasa kwanini mnakaa pamoja?

Ameigiza sauti ya Magufuli: Jimbo hili haliendelei kwa kuwa mmemchagua mpinzani, sasa ni chama tawale, fauluni huo mtihani
Hii amewaambia CCM ambao kwa sasa wanamajimbo mengi yako wapi maendeleo ikiwa awali upinzani ndio ulionekana kikwazo

Well sentence nyingine, ni pale aliposema: Nikupe bodaboda yangu, unipe uwaziri ili uone ninachopitia

Naendelea kusikiliza ngoma huku nikitafsiri zaidi
Hivi yupo wapi kwa sasa?
 
Sasa ni wakati wake ajiandae agombee ubunge, atapata nafasi ya kuliongoza taifa. Mwambie aachane na uboda2, ulimwengu uko huku.
 
Kwamba siku hizi Yuda Iskariote wa Taifa ndiye bingwa mbobezi wa kuwasumula watu?
 
"Mimi sio CCM wala CHADEMA hilo niweke wazi, ila ukiniwekea CCM na Andazi, nachagua ANDAZI" afu anacheka kwa dharau

Roma yupo kundi la pekeake [emoji1787]
 
Inapigwa hapa ngoma yako na dweva daladla wa ihumwa ddm naona ameirudia Tena kuichezaa
 
Kaongeleaa tozo au kaishia kutaja taja majina ya wanasiasa tu.
 
ROMA akili kubwa sana ndio maana wale wa 2015 - 2021 Machi walishindwa kuvumilia.

Nangojea ngoma nyingine kama ROMA,STAMINA na WAMITEGO kama wanaweza kuitoa pamoja! ROMA is an institution in Tanzania that ccm fears vehemently!
 
Back
Top Bottom