chama makini hicho usilinganishe na vi saccoss hivyoMbona ccm ngoma yao iliisha mapema tu kweupe, tena wako wengi walimaliza zoezi lao kabla ya giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chama makini hicho usilinganishe na vi saccoss hivyoMbona ccm ngoma yao iliisha mapema tu kweupe, tena wako wengi walimaliza zoezi lao kabla ya giza
ndio maana nasikia kuwa polisi ni wengi sana wamelizunguka eneo lote la kupiga kuraunaambiwa giza likiingia mbowe atasaidiwa kushinda na hao dola/ccm
ni kitisho hichondio maana nasikia kuwa polisi ni wengi sana wamelizunguka eneo lote la kupiga kura
fisi hasusiwi buchaSasa kama mnaogopa hivyo si bora mngalienda kuuza chapati? Hamas umeona walivyopambana na Isreal ? Sasa kama nyinyi mtaibiwa kura na Mbowe si bora mkauze chapati
Wajumbe tutakula saa ngapi? Tuna njaa!Hapana taarifa ya utekelezaji lazima isomwe ili kila mmoja aisikie ikiwemo wanachama na raia wote nchini.
Yupo sawa.
Lema anasemaje? Asha tweet?Jambo Lakuchukua masaa 3 wanachukua Kutwa Nzima
Lema ashatweet?Wajumbe tutakula saa ngapi? Tuna njaa!
Wamesambaa hapa mlimani city kama mbuzi wa albadiri 😅Wakitoka hapo wanaenda kula hahahaaaa
hapa tayari tundu lisu ameshahujumiwa.Unatafutwa mwanya wa kuchakachua kura ili ndugu Lisu aambulie kura ya yeye mwenyewe tu.
Mtakula usiku.Wajumbe tutakula saa ngapi? Tuna njaa!
ila mbowe naye ana mawakala wengi zaidi kutoka kwa deep state ambao watamsaidia, hata nje ya ukumbi wa kupigia kura nasikia kuwa kuna difenda za polisi nyingi sana za kumlinda mbowe na kumsaidia pale itakapobidiHuu ni uchochezi tu,lissu anamawakala wengi sana humo,waaminifu na wazalendo kwake, hivyo msihofu.
Hivi milimani city inaweza iathiriwe na Giza kweli? Kama Kuna hujuma zimepangwa kufanywa hata ingekuwa mchana zingefanyika tu mkuuhivi mpaka sasa bado hawajaanza kupiga kura?
hapo tundu lisu ahesabie ameula wa chuya, hapati kitu.usiku ukiingia zoezi la kupiga kura litahujumiwa na kura zitaibiwa
Acha kupotosha, tulia demokrasia ifanye kazi yake. Kwahiyo mambo mengine ya kichama yasifanyike kwakuwa tu Lisu kugombea?LISSU STUKA!
Mnyika anafanya upotevu wa Muda, usiku uingie, Dola imsaidie MBOWE, Hotuba yake ilipaswa kuwekwa kwenye vijitabu, wajumbe wajisomee wenyewe.
Pia, Soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?