technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ndio ilivyo.Inamaana Mh Magufuli (Msukuma) anatakiwa amheshimu Mnyika kama "CHIFU" wake.
Wasukuma hawana urafiki na wachaga Mnyika aache kujikomba komba kwa wasukuma
Inamaana Mh Magufuli (Msukuma) anatakiwa amheshimu Mnyika kama "CHIFU" wake.
Mkuu hujajitambua tu, mnyika mwenyewe Ni msukuma pia
Slaa alishakwenda zake , hizi ni zama mpyaHongera zake, akazane kuvaa viatu vya Dr. Slaa
Kwa sasa kila MTU akipewa cheo chadema anaitwa mchaga, nakumbuka wakati ule Dr.slaa akiwa chadema, chama kilikuwa kinaitwa cha kikatoliki, Leo slaa yuleyule yuko ccm.Eti Mnyika anaitwa mchaga leo hivi ukiwa karibu na Mbowe ndio unakuwa mchaga?
Kupandikiza ukabila ni kufirisika kihoja.
Siasa za Tanzania bhana kuna mchaga anaitwa Mnyika?
Wasukuma hawana urafiki na wachaga Mnyika aache kujikomba komba kwa wasukuma
Hongereni chadema, wametoa msukuma, ameingia msukuma.hongereni.
Tatizo watu wengi hawafanyi uchunguzi kabla ya kuropoka.wanasema kama huna data usiropoke.
Eti Mnyika anaitwa mchaga leo hivi ukiwa karibu na Mbowe ndio unakuwa mchaga?
Kupandikiza ukabila ni kufirisika kihoja.
Siasa za Tanzania bhana kuna mchaga anaitwa Mnyika?
Wasukuma Ni wengi sana...
Kabisa wapo kama benderaTatizo watu wengi hawafanyi uchunguzi kabla ya kuropoka.wanasema kama huna data usiropoke.