Mnyika apewe semina kwanza kabla ya kukutana na Rais Samia

Mnyika apewe semina kwanza kabla ya kukutana na Rais Samia

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Baada ya Lissu na Mbowe kutanguliza maombi yao binafsi kabla ya chama, nashauri hili lisitokee tena wakati John Mnyika atakapokutana na mama.

Makosa yaliyofanywa na viongozi wakubwa wa chama kuomba pasipoti na ruzuku badala ya katiba yalionesha kupwaya sana kwa mwenyekiti na makamu wake, labda nafasi nyingine ya wao kukutana na rais inaweza kuwa 2030 wakati kuapishwa Kassim Majaliwa kuwa rais.

Kwa vile John Mnyika naye anataka kukutana na mama, nilikuwa nashauri apewe semina kidogo endapo atapata hiyo nafasi. Haitakuwa busara Mnyika kuomba matofali au mchango wa ada ya watoto.

Aongee na mama, aombe vitu vya msingi, kama vile kupewa eneo kwa ajili ya kujenga makao makuu ya kisasa, jinsi ya kuendesha chama cha siasa kisasa nk.

Chadema tutumieni hizi nafasi vizuri.
 
Hana shida huyo, aliuza Jimbo la ubungo ili ampe ccm ashinde, akakimbilia kibamba baada ya kuvuta mpunga wake, hiyo Siri anayo yeye na CCM
 
Siasa za Tanzania ni usanii mtupu

Mbowe anamshukuru Mama Samia kwa kuitambua Chadema kama chama kikuu cha Upinzani…ni sawa na yule Mbunge aliemshukuru Rais kwa kwenda Marekani
 
Baada ya Lissu na Mbowe kutanguliza maombi yao binafsi kabla ya chama, nashauri hili lisitokee tena wakati John Mnyika atakapokutana na mama.
Makosa yaliyofanywa na viongozi wakubwa wa chama kuomba pasipoti na ruzuku...
Tulia wewe huu muda siyo rafiki kwenu nyinyi sukuma gang.

Tuwacheni tufanye kazi
 
Siasa za Tanzania ni usanii mtupu

Mbowe anamshukuru Mama Samia kwa kuitambua Chadema kama chama kikuu cha Upinzani…ni sawa na yule Mbunge aliemshukuru Rais kwa kwenda Marekani
Naona kuwachiliwa huru kwa mh Mbowe kumewauma sana chawa wa ccm.

Hii chuki ni kwakuwa hamna tena nafasi ya kuuza fitina zenu na umbea na unafiki wa kichonganishi.
 
Hana shida huyo, aliuza Jimbo la ubungo ili ampe ccm ashinde, akakimbilia kibamba baada ya kuvuta mpunga wake, hiyo Siri anayo yeye na CCM
Hutaki hama nchi rudi kwenu Burundi
 
Baada ya Lissu na Mbowe kutanguliza maombi yao binafsi kabla ya chama, nashauri hili lisitokee tena wakati John Mnyika atakapokutana na mama.
Makosa yaliyofanywa na viongozi wakubwa....
Wafuasi wa Mwendakuzimu mnapigwa left, right, Mbele na Nyuma, zenu.

Nendeni kamuweleeni Mawakili yule Jangili wenu Sabaya
 
Baada ya Lissu na Mbowe kutanguliza maombi yao binafsi kabla ya chama, nashauri hili lisitokee tena wakati John Mnyika atakapokutana na mama.
Makosa yaliyofanywa...

Hii ni propaganda ya ccm !! Toka lini mkawa washauri wa vyama vingine? Acheni hizo fanyeni siasa za kistaarabu kwa kujikita kwenye hoja za kutatua matatizo ya wananchi!
 
Naona kuwachiliwa huru kwa mh Mbowe kumewauma sana chawa wa ccm.

Hii chuki ni kwakuwa hamna tena nafasi ya kuuza fitina zenu na umbea na unafiki wa kichonganishi.
Tangu Mbowe katoka hata matusi kwa Zitto yamepungua na Mkutano wake wa TCD Chadema wamehudhuria japo mwanzo waliigiza kujitoa

Siasa hasa za Tanzania hazitaki mihemko na ukiwa nayo kuna sehemu utakwama na uta compromise tu

Tunamaliza Wiki sasa Bw.Lissu hatumii tena neno ma Ccm hahahahaha
 
Naona mtoa post anasumbuliwa na ugonjwa wa bawasilia dalili zake ni kuwashwwashwa makalio ila unatibika kWa tiba asili
 
Baada ya Lissu na Mbowe kutanguliza maombi yao binafsi kabla ya chama, nashauri hili lisitokee tena wakati John Mnyika atakapokutana na mama.

Makosa yaliyofanywa na viongozi wakubwa wa chama kuomba pasipoti na ruzuku badala ya katiba yalionesha kupwaya sana kwa mwenyekiti na makamu wake, labda nafasi nyingine ya wao kukutana na rais inaweza kuwa 2030 wakati kuapishwa Kassim Majaliwa kuwa rais.

Kwa vile John Mnyika naye anataka kukutana na mama, nilikuwa nashauri apewe semina kidogo endapo atapata hiyo nafasi. Haitakuwa busara Mnyika kuomba matofali au mchango wa ada ya watoto.

Aongee na mama, aombe vitu vya msingi, kama vile kupewa eneo kwa ajili ya kujenga makao makuu ya kisasa, jinsi ya kuendesha chama cha siasa kisasa nk.

Chadema tutumieni hizi nafasi vizuri.
Ndy umeandika nini hiki?
 
Kuhusu John John mnyika ukamuulize marehemu John kwamba Kichwani kwake yukoje
 
Back
Top Bottom