Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.
Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
[emoji16][emoji16]limi chadema imewahi ishiwa sera??Udhalimu wa marehemu ndiyo ulioamsha hamasa ya kudai katiba mpya, ili kuzuia viongozi wa aina ya marehemu, kuja kuongoza watu wenye akili timamu.
[emoji16][emoji16]kwamba ni sawa kabisa viongozi wa chadema kuwajaza ujinga nyumbu,halafu wao wanakwenda mapumziko nairobi.Hao punguani wanaoendeshwa na mihemko, achana nao. Hawajitambui. Ni lini na ni vita gani kiongozi alikaa mstari wa mbele. Kiongozi siku zote jukumu lake kubwa ni kuwaunganusha wananchi kupigania a common interest.
Kaishi naye kaburini boss. Nchi hii haina nafasi ya kiongozi muovu kutamba.Nyooooo!!!
Kwa Magu!!
aliwaambia wajaribu kumwaga hata mkojo tu acha damu waone.
Nilipenda utawala wake.
[emoji16][emoji16]limi chadema imewahi ishiwa sera??
kwanini hamkudai akiwa hai mmesubiri mpaka amekufa!!!
jichaganyeni.
Chadema ni failed opposition party.Ila kwa hapa tanzania kina ka unafuu kuliko wengine
fuvu hata wewe utabaki nalo,tena usipokuwa makini utabaki nalo ukiwa hai hapa hapa,sababu ya umalaya.Tulikuwa tunasubiri afe maana tunajua viongozi madhalimu huwa na muda mfupi wa kuishi. Huoni sasa kelele kama zote na yeye kabaki fuvu huko shimoni?
Hawa watu wanajaribu kupimana ubavu na rais,kuwa fair kwa vyama vya kihuni huni Kama chadema ni kuliangamiza taifa,
Rais Hana budi kubadili mikakati ya kudili na vyama vya kihuni huni Kama hivi ili kuliepusha taifa kuingia kwenye machafuko.
Walikuwa wapi kudai katiba enzi za JPM,why now ,je wamemuona rais ni mtu dhaifu kwao hivyo ni muda muafaka wa kuanzisha chokochoko?
Chadema nawahakikishia kile mnachokitafuta hakika mutakipata muda si mrefu,wait and see.
Wewe jamaa unakaaga nchi ya ndotoni ya kusadikika nchi ya jf.Kwa taarifa yako hata rais mumjaze mtakavyo hata ikibidi kuifuta cdm, bado katiba mpya itapatikana. Hata angefufuka Magufuli leo hii bado katiba mpya ingepatikana. Na vile alikuwa ameshaangusha uchumi, tena yeye ingepatikana hata kwa machafuko. Hitaji la katiba mpya ni la wakati, halikwepeki kwa hila wala mabavu. Someni alama za nyakati.
Kwa vichekesho vingine kama hivi tubonyeze ngapi.?Kuna ugomvi gani mpaka useme kuna kuvunjwa miguu? Ww ndio wale wajinga msiojua haki zenu, na ndio mnawapa viongozi viburi wanaishia kutumia nguvu kwenye madai halali ya wananchi. Usiwe lofa boss.
Ndo hvy mzee ngoja tujaze-jaze uziMzee hapa tunafurahisha baraza tu hakuna muandamanaji hapo
Nawakubali sana nyie wanaharakati wa mitandaoniOmba siku zako za kuishi ziwe nyingi ili uone hiyo failed party ikipelekea kupata katiba mpya.
fuvu hata wewe utabaki nalo,tena usipokuwa makini utabaki nalo ukiwa hai hapa hapa,sababu ya umalaya.
mama ameamua kuwa binaadam kama mlivyotamani,lakini wazee wana kauli zao wanasema mbuzi asili yake sio mkate,mbuzi yake majani.
mmeanza kuonyesha umbuzi wenu mapema hata mida ya chai bado.
Wewe jamaa unakaaga nchi ya ndotoni ya kusadikika nchi ya jf.
hilo mjaze wewe,kwani nawewe si mtanzania au uko umekaa unasubiri akosee unaze kulalamika na chakula mdomoni!!!Huyo mama badala ya kumjaza kwenye vijembe vya kisiasa visivyo na madhara yoyote, mwambie afuatilie waliojiunganishia bomba la mafuta.
Ndio wanakoanzia zama hizi za digitali boss. Ukitaka kujua huku ndio habari ya mjini, hata rais na cabinet yake tuko nao humu humu.Nawakubali sana nyie wanaharakati wa mitandaoni
Wanachokitafuta watakipata muda si mrefu! Wewe ukiambiwa acha kufanya vurugu na ukalazimisha utapigwa tu!! Na wapigwe tu!!Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.
Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nguvu kubwa siyo nguvu ya chama cha kisiasa au nguvu ya Serikali bali ni NGUVU YA UMMA; nguvu ya wananchi.
Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amevitaka vikao vyote vya kikatiba vya Bavicha kuanzia Taifa hadi Msingi kuandaa kamati za kudai Katiba mpya.
Mnyika amesema ni vema wakajipanga sawasawa kabla ya kuingia rasmi mitaani kushinikiza uundwaji wa katiba mpya.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Sawa sawa mashujaa wa keyboardsNdio wanakoanzia zama hizi za digitali boss. Ukitaka kujua huku ndio habari ya mjini, hata rais na cabinet yake tuko nao humu humu.