Uchaguzi 2020 Mnyika: CHADEMA kuendelea na kampeni za Urais leo Oktoba 04, huko Unguja, Zanzibar

Uchaguzi 2020 Mnyika: CHADEMA kuendelea na kampeni za Urais leo Oktoba 04, huko Unguja, Zanzibar

Dawa ya moto ni moto. CHADEMA wasitegemee amani bila ncha ya upanga. Huu ndio muda wa mabadiliko. Mahera anakwenda kumtangaza Magufuli kama mshindi regardless ya matokeo. Nadhani hii ni opportunity ya kuonyesha kuwa 28 Okt 2020 hamtokubali kuibiwa.
 
Sisi wapenda haki haya ndio tunataka kusikia.
Shetani akikutengenezea mazingira ya kuchelewa katika safari yako ya mafanikio wewe songa mbele huku ukimpiga kwa vifungu vya sheria.... Cha muhimu tunataka kusikia neno kutoka kwa amiri jeshi wetu Mh Tundu Lisu
 
Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.

Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
 
Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.

Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Hajasema Tl ataendelea na kampeni.
 
Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.

Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Lisu anaendelea na kifungo kampeni sasa zinaongozwa na Salum Mwalimu!
 
Back
Top Bottom