thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Ni ofisi ya wakora tu hiyo[emoji23]Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ofisi ya wakora tu hiyo[emoji23]Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Ambaye ameagizwa kuwaeleza watanzania kuwa Chadema kiko radhi kuhakikisha serikali ya nchi hii inakuwa omba masikini na tegemezi kwa kubinafsisha kila kitengo kinachoiingizia serikali mapato!!!Lisu yuko kifungoni.
Kampeni zinaongozwa na mgombea mwenza Salum Mwalimu!
Mzee nani kasema watanzania wote?Maisha yako yakiwa mabovu kama hayo usitegemee Watanzania walio wengi wanaishi kama wewe.
Huo ni uongo wa mchana kweupe, wacha kamba.Mzee nani kasema watanzania wote?
Nimesema maisha ya watanzania wengi.
Acha kujitoa ufahamu
Sawa namaanisha hawo wengine ofice zao zipo sawa kwasababu wameshika dola wametaifisha vitu kibao kama vitagauchumi pia tuwasifu chadema hata kwa ofice hizi wameanza na sifuri kuliko ccm
Mataga mna ofisi nzuri saana lakini mgombea wenu wa urais amekataliwa kila mahali hadi imefika hatua anaomba kura kwa kupiga magoti [emoji1787]
Dawa ya moto ni moto. CHADEMA wasitegemee amani bila ncha ya upanga. Huu ndio muda wa mabadiliko. Mahera anakwenda kumtangaza Magufuli kama mshindi regardless ya matokeo. Nadhani hii ni opportunity ya kuonyesha kuwa 28 Okt 2020 hamtokubali kuibiwa.
CCM ingekuwa inawaheshimu wananchi mgombea wenu asingekula rambirambi za tetemeko la BukobaCCM ni chama pekee kinawaheshimu waajiri wao yaan rais anawaheshimu waajiri wake kwamaana ya wananchi ndio maana anawapigia magoti, na kuhusu yale mnayoita matusi ni utani tu ambao sisi watanzania na wabantu tumezoea kutaniana kila siku..
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Weka ushahidiCCM ingekuwa inawaheshimu wananchi mgombea wenu asingekula rambirambi za tetemeko la Bukoba
Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika amesema chama chake kitaendelea na kampeni za uchaguzi leo huko Unguja katika visiwa vya Zanzibar.
Wote mnakaribishwa.
Maendeleo hayana vyama!