ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Hoja za madaraja na midege zimechina?W
Huu sasa utani wa ngumi..yaani hii ndio Ufipa - jina kubwa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja za madaraja na midege zimechina?W
Huu sasa utani wa ngumi..yaani hii ndio Ufipa - jina kubwa!?
Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Huyu hapa.Mataga mna ofisi nzuri saana lakini mgombea wenu wa urais amekataliwa kila mahali hadi imefika hatua anaomba kura kwa kupiga magoti [emoji1787]
Inatakiwa wapate msg kwamba wakizingua tar28 watu wanakiamsha...Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.
Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Asante Sana Kwa jibu...Mataga mna ofisi nzuri saana lakini mgombea wenu wa urais amekataliwa kila mahali hadi imefika hatua anaomba kura kwa kupiga magoti 🤣
Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Unajua TANU babake CCM walianza na ofisi gani?.Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Mkuu si uende kushitaki urudishiwe mali zako.Mali zote za WANANCHI mlizipola na kuzigeuza kuwa za CCM
Umeambiwa waliopanga ushahidi huo wewe wako uko wapi? Au ndio majungu yenyewe?Kamuulize Bashite na cyprian Musiba waliokwenda Dodoma kumpiga risasi
Maisha yako yakiwa mabovu kama hayo usitegemee Watanzania walio wengi wanaishi kama wewe.Ofisi inaendana na maisha halisi ya watanzania. Huwezi kujivunia ofisi nzuri wakati wananchi wako wanaishi kwenye mapagala
Tbc watarusha Live? Lissu amesema anamuunga mkono maalimu,kampeni za nini?
Wewe ofisi yako iko wapi?Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Ameimbwa na msanii gani!! Magufuri baba laoLissu ni Baba lao
Waendelee hapa bara, why unguja?.Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika amesema chama chake kitaendelea na kampeni za uchaguzi leo huko Unguja katika visiwa vya Zanzibar.
Wote mnakaribishwa.
Maendeleo hayana vyama!
Ufipa head office. Ofisi ya rais mtarajiwa kutoka Ubelgiji.Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Ndio ratiba ya NEC inavyowaongoza!Waendelee hapa bara, why unguja?.
Bila Shaka hata maana ya neno mataga huijuiMataga
Umenivuruga tu, hata sijaelewa.Nao wakishinda dola watabadika ikiwa hawa waliopora viwanza naonawaona kama wanachechea tu
Ndo nini?Bila Shaka hata maana ya neno mataga huijui