Mnyika: Dr Nchimbi ni vema ukathibitisha Kwa uwazi utashiriki na si kutuma mwakilishi kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu Leo!

Mnyika: Dr Nchimbi ni vema ukathibitisha Kwa uwazi utashiriki na si kutuma mwakilishi kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu Leo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amemtaka Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kushiriki yeye mwenyewe kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Siasa UDSM Leo

Mnyika amesema kama Dr Nchimbi ataingia mitini basi Mdahalo huo utakuwa ni wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Upinzani kitu kitakachokuwa hakina Tija kwani ushiriki wa CCM ni muhimu sana

John Mnyika ameandika Ukurasani X

Screenshot 2024-08-31 131905.png


Soma Pia: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa tarehe 31/08/2024 Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, J J Mnyika, Ado Shaibu na wengine Watashiriki
 
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amemtaka Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kushiriki yeye mwenyewe kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Siasa UDSM Leo

Mnyika amesema kama Dr Nchimbi ataingia mitini basi Mdahalo huo utakuwa ni wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Upinzani kitu kitakachokuwa hakina Tija kwani ushiriki wa CCM ni muhimu sana

John Mnyika ameandika Ukurasani X

View attachment 3083470

Soma Pia: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa tarehe 31/08/2024 Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, J J Mnyika, Ado Shaibu na wengine Watashiriki
Sasa kama hana content kichwani ajitokeze ili achichoreshe au?
 
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amemtaka Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kushiriki yeye mwenyewe kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Siasa UDSM Leo

Mnyika amesema kama Dr Nchimbi ataingia mitini basi Mdahalo huo utakuwa ni wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Upinzani kitu kitakachokuwa hakina Tija kwani ushiriki wa CCM ni muhimu sana

John Mnyika ameandika Ukurasani X

View attachment 3083470

Soma Pia: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa tarehe 31/08/2024 Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, J J Mnyika, Ado Shaibu na wengine Watashiriki
Kikwete CCM ilimchimoa katikati ya mdahalo wakamfunika na kawa!
 
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amemtaka Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kushiriki yeye mwenyewe kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Siasa UDSM Leo

Mnyika amesema kama Dr Nchimbi ataingia mitini basi Mdahalo huo utakuwa ni wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Upinzani kitu kitakachokuwa hakina Tija kwani ushiriki wa CCM ni muhimu sana

John Mnyika ameandika Ukurasani X

View attachment 3083470

Soma Pia: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa tarehe 31/08/2024 Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, J J Mnyika, Ado Shaibu na wengine Watashiriki
Mnyika yupo sahii, Nchimbi hakuna kutuma mwakilishi,
 
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amemtaka Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kushiriki yeye mwenyewe kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Siasa UDSM Leo

Mnyika amesema kama Dr Nchimbi ataingia mitini basi Mdahalo huo utakuwa ni wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Upinzani kitu kitakachokuwa hakina Tija kwani ushiriki wa CCM ni muhimu sana

John Mnyika ameandika Ukurasani X

View attachment 3083470

Soma Pia: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa tarehe 31/08/2024 Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, J J Mnyika, Ado Shaibu na wengine Watashiriki
kwa ratiba ngumu na muhimu sana ya katibu mkuu wa ccm, iliyo ambatana majukumu mazito ya kitaifa na kimataifa si rahisi kushiriki mjadala huo ambao kimsingi hauna tija sana, kwasababu chama chenye zaidi ya wabunge mia4 kina jadiliana nini na chama ambacho hakina hata diwani moja nchi nzima?

nadhani ni busara ya kipekee sana kwa mtu mzima na mwenye heshima kama Dr.Emmanuel Nchimbi, a very able, matured, disciplined and capable SG of CCM, kupuuza madahalo huu na kutoa fursa kwa hao vijana kujadiliana wao wenyewe mambo yao kama upinzani

mbaya zaidi katibu mkuu wa ccm anasisitizwa kuthibitisha kuhudhuria mdahalo huo na katibu mkuu mnyonge sana ( shadow SG) wa chama ambacho mara zote kiko kishari shari tu, kumejawa hofu, ubishi, malalamiko, taharuki na sura ya kihalifu halifu tu... just wastage of time tu:pulpTRAVOLTA:
 
Ccm walivyo wajinga hawawezi kumruhusu katibu wao wa mchongo ashiriki mdaharo. Ccm hawawezi kujibu hoja, wanachoweza ni utekaji na mauaji
 
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amemtaka Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kushiriki yeye mwenyewe kwenye Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Siasa UDSM Leo

Mnyika amesema kama Dr Nchimbi ataingia mitini basi Mdahalo huo utakuwa ni wa Makatibu Wakuu wa Vyama Vya Upinzani kitu kitakachokuwa hakina Tija kwani ushiriki wa CCM ni muhimu sana

John Mnyika ameandika Ukurasani X

View attachment 3083470

Soma Pia: Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa tarehe 31/08/2024 Maktaba ya UDSM. Dr Nchimbi, J J Mnyika, Ado Shaibu na wengine Watashiriki
Sasa mnyika anadhani atapata ushawisi.ngoja ajidanganye.
Mimi nishatulia zangu hapa Mlimani City kupata juice mida ifike nielekee
 
kwa ratiba ngumu na muhimu sana ya katibu mkuu wa ccm, iliyo ambatana majukumu mazito ya kitaifa na kimataifa si rahisi kushiriki mjadala huo ambao kimsingi hauna tija sana, kwasababu chama chenye zaidi ya wabunge mia4 kina jadiliana nini na chama ambacho hakina hata diwani moja nchi nzima?

nadhani ni busara ya kipekee sana kwa mtu mzima na mwenye heshima kama Dr.Emmanuel Nchimbi, a very able, matured, disciplined and capable SG of CCM, kupuuza madahalo huu na kutoa fursa kwa hao vijana kujadiliana wao wenyewe mambo yao kama upinzani

mbaya zaidi katibu mkuu wa ccm anasisitizwa kuthibitisha kuhudhuria mdahalo huo na katibu mkuu mnyonge sana ( shadow SG) wa chama ambacho mara zote kiko kishari shari tu, kumejawa hofu, ubishi, malalamiko, taharuki na sura ya kihalifu halifu tu... just wastage of time tu:pulpTRAVOLTA:
Bado hamjaacha kukimbia midahalo
Hebu wakuteue wewe uwe unawaqkilisha kwenye hiyo midahalo

Ova
 
Back
Top Bottom