Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kama ni Membe hatumtaki, Rais wetu Lisu tu...Wengine wasubiri kwanzaKauli hii inaashiria jambo fulani kutokea/kutimia
Washafika bei kwa Membe hawaMchakato wa kuchukua fomu utawajumuisha hata wale ambao hawakutia nia. Kila mwanachama anaruhusiwa kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani- Katibu Mkuu wa Chadema, Mheshimiwa Mnyika.
View attachment 1497426
Wewe Ni Nani wa kumkataa membe? Mwenye Sacco's yake ndio mwenye uamuziKama ni Membe hatumtaki, Rais wetu Lisu tu...Wengine wasubiri kwanza
Mbowe akishaamua jambo hamna wa kumzuia CDM. Kifupi Mbowe ndio kila kitu, mnaweza piga propaganda zote mzijuazo, ila Mwamba kawashika kweli kweliKwa mtazamo wangu,kauli hii inaashiria jambo fulani kutimia, ila tunawasihi sana wajifunze kwa yaliyotokea na zaidi maamuzi yawahusishe wote kuepuka mgawanyiko.
Let me guess! Wale wahamiaji baada ya say kukatwa CCM and any other party can join the dance!Kwa mtazamo wangu,kauli hii inaashiria jambo fulani kutimia, ila tunawasihi sana wajifunze kwa yaliyotokea na zaidi maamuzi yawahusishe wote kuepuka mgawanyiko.
Mkuu umesema kauli ya kizalendo kwa chama chakoKwa mtazamo wangu,kauli hii licha ya kuwa ni ya kidemokrasia,lakini pia inaashiria jambo fulani kutimia, ila tunawasihi sana wajifunze kwa yaliyotokea na zaidi maamuzi yawahusishe wote kuepuka mgawanyiko.
Mkuu umesema kauli ya kizalendo kwa chama chako
Hiyo haina shida mkuu..wapo ambao walikuwa wanasikilizia upepo na wao sasa acha wajumuike wasije kusema walizuiwa...lkn taadhari ni muhimu piaKwa mtazamo wangu,kauli hii licha ya kuwa ni ya kidemokrasia,lakini pia inaashiria jambo fulani kutimia, ila tunawasihi sana wajifunze kwa yaliyotokea na zaidi maamuzi yawahusishe wote kuepuka mgawanyiko.
Wahamiaji wa aina hii, huwa hawana mapenzi kwa chama na upinzani kwa ujumla.Let me guess! Wale wahamiaji baada ya say kukatwa CCM and any other party can join the dance!
Jamaa ajue hii ni alarm hata kwenye uenyekiti.Naona watu wanamtaja Lissu tu kuwa ndio pendekezo lao,sasa sijui Mbowe wanaona hafai maana sioni kutajwa kama Lissu.
Vipi nayule anaetumia bunduki ili ichapishwe fomu moja tuMbowe akishaamua jambo hamna wa kumzuia CDM. Kifupi Mbowe ndio kila kitu, mnaweza piga propaganda zote mzijuazo, ila Mwamba kawashika kweli kweli
Ni kweli kabisa mkuu.Jamaa ajue hii ni alarm hata kwenye uenyekiti.
Style ya kubadili gia angani inabidi uwe utaratibu wa kuzoeleka.Hii issue mbona kama inaenda kinyume na utaratibu uliozoeleka
Hapana mkuu, Kuna maeneo wagombea wenye sifa hawajajitokeza ndo maana wametoa huo mwanya na si vinginevyo...sidhani Kama wamefanya hvyo kwa wahamiaji...wahamiaji safar hii hawana nafasHii issue mbona kama inaenda kinyume na utaratibu uliozoeleka