denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Nina maswali kwa hiki ulichoandika hapa ila nikikuuliza naona nitakuwa nakuonea, tusubiri muda utatoa majibu.Hapana mkuu, Kuna maeneo wagombea wenye sifa hawajajitokeza ndo maana wametoa huo mwanya na si vinginevyo...sidhani Kama wamefanya hvyo kwa wahamiaji...wahamiaji safar hii hawana nafas