Mnyika:Kuchukua form kutawajumuisha hata wale ambao hawakutia nia

Hapana mkuu, Kuna maeneo wagombea wenye sifa hawajajitokeza ndo maana wametoa huo mwanya na si vinginevyo...sidhani Kama wamefanya hvyo kwa wahamiaji...wahamiaji safar hii hawana nafas
Nina maswali kwa hiki ulichoandika hapa ila nikikuuliza naona nitakuwa nakuonea, tusubiri muda utatoa majibu.
 
Mchakato wa kuchukua fomu utawajumuisha hata wale ambao hawakutia nia. Kila mwanachama anaruhusiwa kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani- Katibu Mkuu wa Chadema, Mheshimiwa Mnyika.

View attachment 1497426
Mtu ambae hakutia nia atachukuaje fomu? Si itakuwa kama analazimishwa?

Amandla...
 
Uliza tu mkuu, sisi ni wao sidhani Kama tutashindwana
Nina wasiwasi na hilo gap waliloliacha, nahisi kuna mtu wanamtarajia aje kuliziba, tatizo langu hasa ni huyo mtu, anyway tusubiri tutapata majibu muda upo.
 
Nina wasiwasi na hilo gap waliloliacha, nahisi kuna mtu wanamtarajia aje kuliziba, tatizo langu hasa ni huyo mtu, anyway tusubiri tutapata majibu muda upo.
Hapana mkuu, hiyo shaka ondoa kbs..Kuna baadhi ya maeneo hayajakaa sawa ndo maana chama kimeamua kuongeza watu waende tu kuchukua form baada ya kuona wapo waliosita kutiania lkn kwa sasa wameonesha wako tayari kushiriki zoezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…