Pre GE2025 Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!

Pre GE2025 Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm wajifunze kutoa matokeo mapema dunia siku hizi ni kijiji
 
Rais aliyetoka nayeye alikuwa mpinzani ila, ghafla akataka kuinajisi Katiba, ngoja tuone wengi waafrica wanaingia ikulu very humble ila wakionja madaraka wanageuka na kusahau movement zote
Nilitaka kusema hili hili, hata huyo Sonko awe makini anaweza geukwa na kupewa kesi ya uhaini. Viongozi wa Africa sijui tuna shida gani. Ivory Coast na The Gambia zilichagua wapinzani ila wamekuwa worse kuliko vyama tawala.
 
Nilitaka kusema hili hili, hata huyo Sonko awe makini anaweza geukwa na kupewa kesi ya uhaini. Viongozi wa Africa sijui tuna shida gani. Ivory Coast na The Gambia zilichagua wapinzani ila wamekuwa worse kuliko vyama tawala.
Ukiangalia namna Vyama Vya upinzani wanavyofanya mambo yao hapa nchini ni vyama vya hovyo bora hata CCM mara Mia.

CCM kimenajisiwa na matajiri na mafisadi maana originally kilikuwa chama cha wakulima na wafanyakazi ila ni bora kuliko hizo Machadema na Act na ujinga mwingine.
 
Naipenda CHADEMA ila Mnyika amekaa mtu muongo muongo sana.

Zee la kutembea na upepo.
........................ aliyoandika mengi ni sahihi ila kosa lake naona amejiweka katikati yake kuzidi kiasi
 
Naipenda CHADEMA ila Mnyika amekaa mtu muongo muongo sana.

Zee la kutembea na upepo.

Crap from a poor mind. Uwezo wa kujenga hoja zero. U aropoka tu halafu unataka watuwaamini.

Mwenye akili japo kidogo angeorodhesha matendo au kauli za Mnyika, ili kuthibitisha kuwa uwongo ni sifa yake.

Baada ya kushi dwa kuweka huo uwongo wa Mnyika, na kuishia tu kuropoka, wewe ndiye unayeonekana una tabia ya uwongo.
 
Punguzeni kunywa kimpumu Ili Msiwe na mihemuko

Vile wewe ni Msafwa nakusamehe bureeee [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kabila ambalo unaweza kusema lina watu waliodhihirika ni punguani na wanafiki kama huyu bwana. Huyu ni gobal exceptionally dull witted. Hakuna akijuacho zaidi ya kuropoka.
 
Hakuna kabila ambalo unaweza kusema lina watu waliodhihirika ni punguani na wanafiki kama huyu bwana. Huyu ni gobal exceptionally dull witted kama huyu kiumbe.
😂😂😂

Anaipenda CCM kuliko FaizaFoxy
 
Hakuna msafwa poyoyo kama huyo bwana!! Huyo ni mnyiha wa Vwawa.

Hata Wanyiha hawapo hivyo. Watendeeni haki Wanyiha. Kuufunya uchizi wa Mwashambwa kuwa ndiyo tabia ya kabila fulani, ni kulitusi na kulikosea heshima kabila hilo. Huyu bwana tumhesabu kuwa ni mlemavu kama walemavu wengine ila ulemavu wake ni mbaya sana kwa sababu ni wa ubongo na moyo.
 
Back
Top Bottom