Pre GE2025 Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kama kuna sapoti ya kutoka nje kwaajili ya kuonfoa udikteta Afrika, ni jambo jema sana. Tuwashukuru sana hao wanaosapoti. Afrika inadidimia kwa sababu ya watawala hovyo, wanaojimilikisha uongozi ilihali hawana uwezo. Fikiria mijitu ambayo haitaki hata tume huru ya uchaguzi. Halafu inatumia vyombo vya dola kuwadhibiti wanaohoji. Wanaohoji hawana nguvu ya vyombo vya dola, watafanikiwa vipi kuwaondoa mashetani wanaoiangamiza Afrika kwa mifumo ya hovyo ya utawala?

Tunasaidiwa na mataifa ya nje kwenye uchumi, ni muhimu zaidi kusaidiwa katika ujenzi wa mifumo ya demokrasia na utawala bora.
 
HATA HUYO RAIS ALIYESHINDWA....Mark Sally alikuwa ni kiongozi wa Upinzani hapo awali na akashinda uchaguzi 2019 akitokea Upinzani.
Lakini alpoingia Ikulu Pakawa Patamu na kilichotokea ndio tulichoshuhudia akigeuka Kuwa Dikteta akiwafunga jela wapinzani wake hao kina Sonko&Company.

Kwa hiyo kuwa mpinzani hakugeuzi Roho kuwa ya Malaika!
Ukitaka kujua tabia ya mtu, mpatie Pesa na Madaraka!

Hata Samia alianza akiwa humble,leo hii kuna watu wamefungwa Magerezani sababu tu wamemsema Samia au kumuimba asivyotaka yeye!
Pesa za umma zimegeuka na kuwa za Samia!
 
Rais aliyetoka nayeye alikuwa mpinzani ila, ghafla akataka kuinajisi Katiba, ngoja tuone wengi waafrica wanaingia ikulu very humble ila wakionja madaraka wanageuka na kusahau movement zote
Alikuwa Waziri Mkuu serikali ya zamani baada ya kung'atuka uwaziri mkuu aligombea urais mara mbili nadhani ya tatu ndiyo akashinda.
 
Sasa Mnyika si awezeshe na hapa Tanzania???! Kwanini anaeezesesha Senegal tu??
 
Mtaendelea kufurahia na kushangilia ushindi wa wengine.
Ninyi hapa nchini kushinda; labda baada ya miaka 100 ijayo.
Watanzania wana imani kubwa na CCM.
Na kwa sasa wana imani kubwa sana na Rais Samia Suluhu Hassan. Mama yetu kipenzi cha wote.
 
Tulia ww muumini wa chama la majizi.
Mara 1000 ushindi akapewa ACT na siyo CDM. Binadamu anayepinga kila jambo (barabara anaziona na kutembelea lkn anapinga, umeme anapinga, mikopo elimu ya juu anapinga,).....

CDM siyo chama cha kupewa hati ya ushindi
 
Uchwara wakati imejengwa nyumba mpaka Mch. Wa Iringa alibKi ameduAa!
Ukiona mtu kushangaa ile nyumba ya Mbowe ujue ana asili ya umasikini, maana ni nyumba ya kawaida sana. Hata hivyo hizi nyumba kwa familia ya kina Mbowe ni kawaida.
 
Mara 1000 ushindi akapewa ACT na siyo CDM. Binadamu anayepinga kila jambo (barabara anaziona na kutembelea lkn anapinga, umeme anapinga, mikopo elimu ya juu anapinga,).....

CDM siyo chama cha kupewa hati ya ushindi
Ukiwa bendera fuata upepo lazima uje na hoja hizi za kitoto. Unadhani hatujui cdm wanapinga nini, na kwa wakati gani? Hata hivyo wapiga kura ndio huchagua mgombea na sio kupeana. Kama nu kupewa wapeni ACT maana hao wanategemea hisani ya ccm. Cdm wana wapiga kura wa kutosha, hawategemei hisani ya yoyote.
 
Mara 1000 ushindi akapewa ACT na siyo CDM. Binadamu anayepinga kila jambo (barabara anaziona na kutembelea lkn anapinga, umeme anapinga, mikopo elimu ya juu anapinga,).....

CDM siyo chama cha kupewa hati ya ushindi
Takataka kama wewe ni wa kupuuzwa tu.
 
Hakuna kitu kama roho ya malaika katika uongozi wa nchi. Lazima kuwe na katiba na mfumo wa sheria unaohakikisha watu wote pamoja na viongozi wanaishi kwa kuheshimu katiba na sheria, period. Kuwa chama tawala au upinzani hizo ni nafasi tu zinazobadilika. Mpinzani akiingia madarakani anakuwa mtawala. Akitoka anakuwa mpinzani.

NI KOSA KUBWA SANA kutarajia kuwa na binadamu ambaye atakuwa kiongozi bora muda wote kwa hulka yake tu kiasi cha kumpa madaraka yote (absolute power). HAKUNA BINADAMU WA AINA HIYO. Binadamu, kwa asili, usipomuwekea udhibiti wa kisheria ataweka maslahi yake binafsi mbele muda wote. Hata kama yanaangamiza taifa.

Hata Marekani na Ulaya wanajua hilo. Ndio maana utawala wa Katiba na sheria unahesimiwa kuliko kitu chochote.

Tatizo la Afrika ni kuabudu watu na kutarajia watakuwa wema kwa utashi wao tu. Huo ni ugonjwa wa akili.
 
Sasa wao nguvu za kukaa mezani na CCM kujadili mambo yasiyowezekana kwa CCM ni nini!!
 
Hivi mataifa hayo yanatusaidia kwenye uchumi kumbe? Tell me!
 
Mbona mnyika na Mbowe mnaridhika na nusu mkate!!?
 
Wapinzani wa Senegal siyo pinga pinga wa maendeleo ya wananchi ndiyo maana wamefanikiwa .

Mnyika rudini kwenye msitari
Sio kweli kabisa, shida ya Tanzania ni mijitu bogus kama nyie kutwa ni kuiabudu tu ccm kisa mnapata milo yenu kwa njia za haramu na kwa idhini yao. Bure kabisa.
 
Chadema ni chama kilichoamin8ka sana na watanzania kabla ya 2015 kutokana na maono yao. Ila baada ya kuanza kuyakana yake waliyoyaamini walipoteza mvuto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…