johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu Mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema Mjumbe wa sekretarieti ya Chadema hayati Ally Mohamed Kibao alitekwa na Kuuawa akiwa ametoka kuendesha Mafunzo ya Maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mnyika amesema wakati wanafuatilia Kwa karibu Wahusika wa Unyama huu ni Lazima waendelee na majukumu Yote waliyoachiwa na Meddy
Mnyika amesema ukurasani X
Baadae Mlale Unono🐼
==========
Mzee Ali Kibao alitekwa na kuuwawa akiwa ametoka kuendesha mafunzo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi wa mitaa, vijiji na vitongoji. Wakati tunachukua hatua mbalimbali kufuatia mauaji yake ni muhimu pia tuendeleze majukumu aliyoyaacha, mojawapo ni mafunzo ya viongozi wapya wa vijana wa Kanda na Mikoa. Waliomteka na kumuua naamini pamoja na udhalimu mwingine walilenga kupandikiza hofu na kuvuruga mipango @ChademaTz
Tuendelee kuonyesha kwa vitendo kuwa: hatuogopi na hatusimami; tunaendelea na mapambano ya haki.
Soma> Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mnyika amesema wakati wanafuatilia Kwa karibu Wahusika wa Unyama huu ni Lazima waendelee na majukumu Yote waliyoachiwa na Meddy
Mnyika amesema ukurasani X
Baadae Mlale Unono🐼
==========
Mzee Ali Kibao alitekwa na kuuwawa akiwa ametoka kuendesha mafunzo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi wa mitaa, vijiji na vitongoji. Wakati tunachukua hatua mbalimbali kufuatia mauaji yake ni muhimu pia tuendeleze majukumu aliyoyaacha, mojawapo ni mafunzo ya viongozi wapya wa vijana wa Kanda na Mikoa. Waliomteka na kumuua naamini pamoja na udhalimu mwingine walilenga kupandikiza hofu na kuvuruga mipango @ChademaTz
Tuendelee kuonyesha kwa vitendo kuwa: hatuogopi na hatusimami; tunaendelea na mapambano ya haki.
Soma> Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana