Pre GE2025 Mnyika nae anautaka Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
Mwaka 2009 Mnyika aliulizwa mipango yake kisiasa, Majibu yake yalikuwa ni kuwa Mbunge kwa vipindi viwili 2010 na 2015 halafu kupumzika ubunge 2020 kwa ajili ya kujiandaa na Urais 2025.

Mnaofikiri vita ya Urais Chadema ni kati ya Mbowe na Lissu tu mmemsahau Mnyika labda na Msigwa.

Kwa siasa zilivyo Mgombea Mwanamke anaweza kupingwa na kushindwa na mgombea Kijana. Kama CCM watamsimamisha Mama Samia basi watatu hao Mbowe, Lissu na Mnyika wote wanaona hapo ndio kitonga kwenyewe. Tusubiri muda utaongea.
 
LABDA URAHISI SIYO U RAIS , AENDE AKACHEZE HUKO
 
Ni HAKI yake muache agombee tu, Wajumbe ndio wataamua

Kwa taarifa tu, hili la kuwa na Presidential candidates wengi ni AFYA kwa CHADEMA na hata nchi kwa ujumla..Acha watu watangaze NIA ndani na nje CCM,

Rai yqngu kwa wanasiasa wote kuanzia Mbowe,Mwigulu,Makamba, Dovutwa, Mpina, Zitto,Mnyika, Rungwe, Kigwa ,Lissu, Semu na wengine wengi, TANGAZENI nia mapema ili TUWAFAHAMU zaidi
 
Ni haki yake kikatiba.
Hata wewe ni haki yako kama unakidhi vigezo Vya kikatiba.
 
Chadema hamasisheni mgomo sekta zingine ili kuwangu mkono wafanyabiashara
 
Kwa sasa ukisema chama ambacho mda wowote kinaweza mtoa rais kwa jina lolote na nchi ikasimama ni Chadema, nje ya uliowataja bado chadema ipo na hazina kubwa ya watu wakua viongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…