Yustas Kisaka
Member
- Feb 10, 2017
- 24
- 25
Mkuu nyaraka ngapi tunawekewa hadharani na serikali hizi ikiwemo mikataba?Wapi serikali hufanya kazi namna hiyo kwa kuweka hadharani nyaraka kisa kuna watu wanaongelea sana suala tajwa? Labda serikali ijayo ya mbowe
Kabla ya kufikia kusamehewa, hao Covid 19 watoke mbele ya vyombo vya Habari wauelezee umma wa waTanzania namna walivyoingia bungeni. Wakifanya hivyo, kila mtanzania atakua amejua kilicho nyuma ya pazia na msamaha kwao utakua na maana. Sasahivi wakisamehewa bila kuweka mambo hadharani, jamii itaendelea kuwaza kwamba CHADEMA walipeleka majina. Mnyika bado anazo form 19 alizopewa na tume ya uchaguzi, ambazo hazijajazwa jina lolote kwa sababu kabla ya kufanya hivyo, walishangaa watu wanaapa kwenye garage ya viunga vya bunge.Yamesemwa mengi kuhusu wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema. Sijui ni kwanini Chadema hawajifunzi, hawabadiliki? Viongozi wake wanafikiri migogoro kubishana bishana ndio siasa, hapana. Chadema ni chama kinachopendwa sana lkn uendeshaji wake kwa maana ya uongozi ndio shida. Viongozi wake wamekuwa watu wanaokaza shingo muda wote, hawataki kubadilika, hawataki kukubali yaishe ili maisha yaendelee, wanashikilia jambo lile lile hata kama halina manufaa yoyote. Kilichotokea katika uchaguzi wa 2020 kila mtu mwenye macho na masikio anafahamu hii sio siri! Maji yakimwagika hayazoleki! Baada ya uongozi wa Raisi Mama SASHA (Samia Suluhu Hassan) ni ukweli ulio wazi siasa za Tanzania zimekuwa za wazi na maelewano angalau, watu wameanza kuongea mambo kwa uwazi. Ningekuwa mimi ni kiongozi wa Chadema ningepiga moyo konde na kuanza upya kuepuka mapambano ndani ya chama. Wabunge hawa 19 mimi ningewasamehe kwani tatizo ni nini? Kwani wameua? Wote tunajua msimamo wa Chadema kuhusu tuhuma za EL kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2015! Sasa kama Chadema waliweza kumkaribisha EL na kumupatia nafasi ya kugombea nafasi ya juu kabisa ya kiti cha uraisi 2015 wanashindwa nini kuwasamehe hawa wabunge 19? Misimamo ya baadhi ya hawa wabunge 19 inajulikana, kupambana kwao kunajulikana vizuri, wamefungwa gerezani, wamekaa sana mahabusu, wamepata kila adha ya misukosuko ya kisiasa, ni kwanini Chadema hawakumbuki yote haya na kuwasamehe hawa wabunge 19 ili maisha yaendelee na siasa nzuri na zenye hoja zianze? Mhe. Raisi Samia Suluhu Hassan (Mama SASHA) amekaribisha siasa za uweledi na ustaarabu na kuliunganisha taifa, ni kwanini Chadema hawajifunzi ili nao wakaleta maelewano ndani ya chama chao kwa kuzingatia ule usemi usemao "yaliyopita si ndwele tulonge yaliyopo na yajayo" sijui kama nimeukumbuka vizuri usemi huu, lakini lengo la usemi wenyewe ni kwamba tusonge mbele tuachane na yale yote yanayotukwaza!
CHADEMA ACHANA NA HAWA WABUNGE 19 TUJENGE TAIFA LETU PAMOJA.
Anajifunza kutunga insha, ushahidi anapata wapi! Hii ni propaganda zee ambayo mafiem wameimba tangu jina ‘Mwanakwendazake’ halijapata umaharufu!Ungeweka ushahid official paper ya majina hayo aliyopeleka
Taja mkataba mmoja tu uliokwisha wekwa hadharani. Hizo teuzi na tenguzi ni taarifa kwa umma wewe na mimi na yeyote yule ni walengwa ndio sababu huwekwa hadharaniMkuu nyaraka ngapi tunawekewa hadharani na serikali hizi ikiwemo mikataba?
Au barua za uteuzi wa wabunge ni nyaraka za siri? Maana siri tuu ndio haiwekwi hadharani
Watu wengi wamefukuzwaga UDOM au UDSM, hata Nondo alifukuzwa UDSM miaka ya karibuni tu!Naaa, siye huyu wala si UDOM ni UDSM. Aliyefukuzwa ni James Mbatia na kikundi cha watu 7 kwa kumtukana Rais-Mteule Ali Hassan Mwinyi matusi ya nguoni 1985
Hawana nakala kwa sababu hakuna barua waliyopeleka tume. Hakuna mchakato wa uteuzi wa majina uliofanyika.kwani wao chadema hawana nakara waliyobaki nayo???
huyu bwana ni wa kupuuzwa, anaangaika kama kuku anaetaka kutaga.MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua!
Hili likifanyika ndiyo utakua mwisho wa hizi kelele zote. Hao wanaowaonea huruma hao Covid 19, wawape ushauri huu TU.Ni vema pia hao Wabunge 19 wangeomba RADHI na kueleza kwa uwazi ni nani aliyewapeleka Bungeni.
Kwanini ugome na ushahidi unao, unagoma ili iwe nini?Sasa kama tumeimegoma kuiweka hadhalaniii, kwa nini chadema isichukue jukumu la kwenda mahakamani kuomba ushahidi huo?
Namba ungeweka chini mwisho kabisa wa ki-riwaya chako, alafu hiyo duuu, ni kucheka baada ya kujitekenya mwenyewe, hiyo ungemwachia pasco mayala!MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
Jibu swali, unajimonjekamonjeka tuKwahiyo mumeona mahakama haifai kuwapa haki. Sasa hao vikongwe wamama bawacha wanaohangaika na ndugai watawaletea mwalobaini wa hilo tatizo huku viongozi wanaume wa chama wamestarehee??? Achani kutudanganya
Pumbaf sana wewe sukuma gang.MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
Mleta post ni mpumbavu,sasa anafikiri watanzania wote ni wapumbavu kama yeye,ndugai kakiri chadema kupeleka barua,lakini ajaonyesha barua ya mnyika kuwaruhusu mdee na wenzake kuingia bungeni.Kwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga