Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Akikujibu nistue... Mkuu Erythrocyte kwenye uzi fulani alihoji hivi ni kwanini verified members wengi wa JF mara nyingi huanzisha threads "takataka"; this is another proof!
Nikuulize swali moja tu; je, ni Mnyika na Chadema walioenda kumtoa Nustrat Henje gerezani usiku na muda mfupi baadaye akaapishwa kuwa mbunge? Ujinga ni mzigo kweli kweli!
... hawezi kujibu huyo fisiemu msaka teuzi.Akikujibu nistue
We jamaa makalio kweli.MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
Mwakibinga bhana! yaani Chadema Mnyika amepeleka majina na kulazimisha hadi yule dada atolewe gerezani ili awahi kuapishwa kesho yake 😃 😃 😃 😃MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
Barua huwa zinawekwa hadharani?Kwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
Wakubali tuu kua kashaondoka, tuendelee kuijenga NCHI.Anajifunza kutunga insha, ushahidi anapata wapi! Hii ni propaganda zee ambayo mafiem wameimba tangu jina ‘Mwanakwendazake’ halijapata umaharufu!
Kwa hiyo Mnyika ndiye aliyehusika yule wa Mahabusu Singida na kusafirishwa usiku kwenda kuapa Dodoma?MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
Wakati wakipelekwa Bungeni, Mahakama zilikuwa haziaminiki kwa kuwa hazikuwa huru kwa kumuogopa Mwendazake.Mshauri Mnyika aende mahakamani au aite BARAZA KUU ukiona hafanyi hivyo jua anacheza na akili yako.
Wekeni hadhalani kikaochenu cha kuwafuta ubunge chakamatiii juuu mlichokaa kujadili rufaa ya hao wabunge, wekeni mihitasary ya waokujitetea. Vinginevyo chama chenu kinafanya uoneziii mkuubwa saaana. Perekeni nyaraka muhimu, siovipeperushiiiMtu amemkataa mnayesema ni mwanae, vipi tena mlazimishe aende mahakamani kudhibitisha kuwa sio mwanae?
Eitha zibitisheni nyie kwa DNA (barua ya KM) au kubalini sio mwanae (ondoeni hao wabunge)
Yaaaani dili lisukwe na wanaume wa kikundi chenu hala msukumizie wanawake mkidhani mtatoboa?? Acheni kutapeli watuuuSubiri uone. Hili suala linawahusu "wabunge" wanawake, linashughulikiwa na wanawake. Lingebebwa na wanaume ingekuja hoja ya mfumo dume. Kuhusu matokeo ya hicho wanachofanya hao wanawake wa chadema kupeleka pressure kwa Ndugai, subiri utaona matokeo. Itoshe tu kusema hao Covid 19 hawatafika 2025.
Sindomkashitakiiii?? Acheniii michezo michezo ya kuhadaa watuuu.Kwanini ugome na ushahidi unao, unagoma ili iwe nini?
Ni kukosa maadili kuweka barua za kiofisi hadharani.Kwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
Barua ya Mnyika ya kupeleka hayo majina iko wapi ?MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
Toka lini watu wanguruka mtego wa noti mkawa na hojaaaaaJibu swali, unajimonjekamonjeka tu
Nimecheka sana baada ya kujua mtoa UZI ni PHILIPO MWAKIBINGA.MNYIKA ALIPELEKA MAJINA 19 YA WABUNGE WANAWAKE CHADEMA.
Na: Philipo Mwakibinga.
0758910403
Uongo ukizungumzwa mara nyingi lazima unaweza kufanana na ukweli lakini kamwe hauwezi kubadilika kuwa ukweli maana bado utakua ni uongo tu.
JOHN Mnyika anajitahidi sana kuhakikisha ndugu yake Halima Mdee na Wenzake wanaonekana waovu mbele ya CHADEMA kitu ambacho hakiwezi kuwa kama anavyotaka. Mnyika anazunguka kuhakikisha kila Kiongozi wa Wanawake CHADEMA Mkoa anatoa tamko ili kutaka kuonesha kuwa HALIMA MDEE na wenzake 19 hawapendwi lakini ukweli ni kuwa ameamua kujipa kazi kwa kusaliti kazi aliyoifanya yeye mwenyewe.
John Mnyika kama katibu Mkuu wa CHADEMA alitimiza jukumu lake la kisheria kupeleka majina ya Wabunge viti maalumu 19 ambao leo wanatusiwa na kubezwa kwasababu ya ukigeugeu wa Mnyika. Hakuna Mbunge aliyejipeleka kwa SPIKA kama baadhi ya BAWACHA na BAVICHA wanavyosema bali ni janja janja ya Mnyika kutaka kuonekana yukosafi japo kwa muda mfupi maana hatodumu na uongo wake siku zote.
TUME ya UCHAGUZI walipokea majina kutoka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Mnyika kama sheria inavyotaka. Tatizo ni Mnyika alipogombezwa na akina Mbowe na John Mrema kuwa katika majina yale hakuna watu wao, ndipo aliamua kuwageuka akina HALIMA Mdee ili aweze kujikosha kwa akina Mbowe. Mbowe anjaua, Lema anajua na Lissu anajua pia, hata Mnyika yeye mwenyewe anajua.
Mdee na wenzake 19 ni Kondoo wa weusi wa kafara tu! Kama kujipeleka kuwa Mbunge wa viti maalumu ni rahisi kiasi hicho basi Suzani Kiwanga angekua Bungeni, kwanini wengine hawajajipeleka? Mnyika anamakosa makubwa sana kama katibu Mkuu kwakuwaacha Mdee 19 Washambuliwe wakati anajua ukweli wa Mungu kuwa yeye ndiye alipeleka majina yale na wale ndiyo Wabunge sahihi wa Viti Maalumu CHADEMA.
KWANINI HAWAENDI MAHAKAMANI? Kamwe Mnyika na CHADEMA yake hawana ujanjanja wa Kwenda mahakamani hata kidogo kwakua wanajua MAHELA atawaumbua. Wataendelea kupiga sarakasi lakini hawawezi kwenda mahakamani kwani ukweli unadhihiri. Wale msiyojua acheni kuwashambulia akina Mdee 19 hawana hatia ni TAMAA za Baadhi ya viongozi wa CHADEMA zimewafikisha hapa na kinachoendelea ni MZUGO TU anaofanya Mnyika kiwaadaa WANACHAMA WA CHADEMA ila siku wakijua! Duuu!
hapa vepee alikuwa tayari keshashusha mzigo au bado anaukamua??Mwakibinga hauna social legitimacy ya kuzungumzia swala hiliView attachment 1782731