Tatizo au gumu uko wapi kuita hilo sijui baraza na kupiga muhuri wa mwisho. Mara nyingi watu wanakimbilia mifano ya mahakama. hawa sio criminals sio kesi ya jinai hapa ni kufuata taratibu za chama walizojiwekea kuita baraza kuu shida ni nini hapo kama ndio kikao cha mwisho cha kuamua rufaa.ukihukumiwa na mahakama ukakata rufaa hutatumikia adhabu yako mpaka rufaa isikilizwe?