Tatizo au gumu uko wapi kuita hilo sijui baraza na kupiga muhuri wa mwisho. Mara nyingi watu wanakimbilia mifano ya mahakama. hawa sio criminals sio kesi ya jinai hapa ni kufuata taratibu za chama walizojiwekea kuita baraza kuu shida ni nini hapo kama ndio kikao cha mwisho cha kuamua rufaa.ukihukumiwa na mahakama ukakata rufaa hutatumikia adhabu yako mpaka rufaa isikilizwe?
Hahahaaaa........ Umeshafura!Ukome ndiyo maana umefukuzwa makao makuu
Ndio maana nasema kama walikuwa wanamuogopa dikteta na sasa wanamuogopa Ndungai basi wasamehe na wakie kimya tu malalamiko yatasaidia nini wasitafute huruma hichi chama kikubwa kinatakiwa kuonesha ukubwa wake kama hili dogo linawashinda ya nchi watayaweza kweli.Wafanyaje dola ipo chini ya CCM yote, mbona dikteta alitisha mpaka kwenye CCM?
Huo ni mchezo tu, kama walifoji barua mbona Chadema hawaendi mahakamani!??
Dawa imeingiaHahahaaaa........ Umeshafura!
Umemchangia Mdude lakini?!Hakuna mahakama hapa Tanzania, bali kuna majengo ya mahakama yanayoendeshwa na Makada wa ccm.
Kwenye mbege!Dawa imeingia
Kwa niaba ya Chadema!Yale majina yalitumwa na polepole ndio mshangae nchi ilifika pabaya hii.
Kwamba "NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao" Anayetakiwa kutoa despatch isainiwe ni nani, Ni yule aliyeleta barua/mzigo, AU yule aliyepokea??Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu
NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika amesema ni miezi 5 imepita tangu amwandikie mkurugenzi wa uchaguzi NEC akitaka kujua ni nani alipeleka orodha ya majina ya akina Halima Mdee na wenzake na form zao zilisainiwa na nani pahala alipotakiwa kusaini Katibu mkuu.
J J Mnyika anashangazwa sana na ukimya wa NEC ambao walipokea barua yake tangu 27/11/2020
Ikumbukwe hapa tarehe 10/05/2021 Bawacha wanatimba bungeni kwenda kuwafurusha akina Halima Mdee na wenzake.
Kazi Iendelee!
Huna bunduki wala panga utafanya nini mbele ya mabomu? MUNGU atafanya kama alivyofanya kwa dikteta hakuna namnaNdio maana nasema kama walikuwa wanamuogopa dikteta na sasa wanamuogopa Ndungai basi wasamehe na wakie kimya tu malalamiko yatasaidia nini wasitafute huruma hichi chama kikubwa kinatakiwa kuonesha ukubwa wake kama hili dogo linawashinda ya nchi watayaweza kweli.
Posho imetoka umeanza kuwaza pombeKwenye mbege!
Ndio hapo ushangae wanakwepa nini kuitisha baraza kuu limalizie? Wanapiga miyowe tu ohh kamatui kuu ikiamua ni kama mahakama.Toka lini maamuzi ya kamati kuu yakawa sawa na ya mahakama? Katiba inasema mtu anaruhusiwa kukata rufaa.Wao wamekata rufaa haya itisheni basi baraza kuu liamue.Wanakuwa bubu miezi mitano sasa wako bubu ,Kuna kitu wamekifanya akina Mnyika na MBOWE wake wanataka kusingizia kusiko husikaTatizo au gumu uko wapi kuita hilo sijui baraza na kupiga muhuri wa mwisho. Mara nyingi watu wanakimbilia mifano ya mahakama. hawa sio criminals sio kesi ya jinai hapa ni kufuata taratibu za chama walizojiwekea kuita baraza kuu shida ni nini hapo kama ndio kikao cha mwisho cha kuamua rufaa.
Wewe ni msemaji wa NEC?Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu
NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
Baraza kuu lenyewe linalotakiwa kutoa uamuzi hawajaliitisha miezi yote hiyo!!! Wahuni tu hawaKatika hili nadhani CHADEMA hawapo serious......baada ya miezi mitano ya kutojibiwa barua zenu mlifanya maamuzi gani....??
Kama mnajua hakuna mahakama, hakuna bunge vyote mali ya CCM wewe na Mnyika mnalialia nini mitandaoni!?.. nendeni kwa Samia ndo pa mwisho au waache akina Mdee wale pesa za ubunge.Hakuna mahakama hapa Tanzania, bali kuna majengo ya mahakama yanayoendeshwa na Makada wa ccm.
Sasa hicho ki despatch chako cha Chadema umekileta humu cha nini? mbona hujaambatisha DESPATCH ya mapokezi ya kupokea barua ya NEC?Wewe ni msemaji wa NEC?