Mnyika: Niliongea nao wakasema wako tayari kushirikiana na chama, lakini tuwaachie Ubunge

Mnyika: Niliongea nao wakasema wako tayari kushirikiana na chama, lakini tuwaachie Ubunge

Diesel tsh 100000 unapata lita 30.4
Kwa gari mpya kwenye barabara nzuri (highway) lita moja kwa umbali wa kilometers 12.5....(lita 30.4 = kilometers 380).

Kwa magari ya mtumba/used kwenye barabara duni (foleni,makorongo)..Changamoto ni kubwa.
 
Kwa hiyo kauli ya Mnyika inaonesha kweli kina Mdee ni ulafi ndio umewapeleka bungeni, na ikitokea siku wakatimuliwa kule, wapata aibu kubwa kwenye maisha yao.
 
N
Mnyika anasema “Baada ya kutokea yaliyotokea nilikutana na Bulaya na wenzake ili dhamira yangu iniongoze, sawa wamekosea, lakini je, wapo tayari kutubu na kurudi?”

Anasema, “Nilichokigundua baada ya kufanya mazungumzo nao, mdomoni wanasema wanakipenda Chadema na wapo tayari kurudi na kushiriki kwenye chama, lakini tuwaachie ubunge. Binafsi nilichokigundua kinachowaweka bungeni ni masilahi ya ubunge pekee, hakuna kingine,”.

Jaa mwana malegeza shibe mwana malevya
 
Kwel machizi wengi nchi hiii
Nimetonywa kuwa kuna jambo linatengenezwa ili hao cov 19 waendelee na ubunge, ila kila mbunge atakuwa anamega kiwango fulan cha kile wanachopokea bungeni na kukiingiza katika account ya mwenyekigoda, ambae na yeye atakuwa anakata fungu kidogo kulipa genge lake ambalo ni la watu kama watano viongozi wa juu kabisa wa chama, ili lisisanuke kuhusu mpango huo wa cov 19.
 
Kwel machizi wengi nchi hiii
Siku hizi kila mwanasiasa hakosi chawa wa kumtetea mitandaoni.

images (68).jpeg
 
Hata mimi mwaka 2015 niliposikia kuwa mgombea wa chama kilichojiita makini atakuwa Lowasa, nilipinga hivyo hivyo hasa baada ya kulishwa maneno hapo kabla kuwa viongozi wa chama hicho huwa na misimamo isiyoyumba au kubadilika badilika. Ila mwisho wa siku mimi ndo niliona aibu badala ya kuona aibu wao walioshiriki kumeza matapishi yao. Katika siasa zetu za Tanzania kinachoangaliwa na hawa wanasiasa uchwara ni matumbo yao na familia zao.

View attachment 2224296

View attachment 2224298

View attachment 2224299
niliwahi kusikia eti hakuna adui wa kudumu kwenye siasa,hujawahi kusikia?
 
Mh Mnyika ni kiongozi nilimheshimu sana wakati wa CDM ya DR Slaa, akiwa bungeni na pale alipoonesha msimamo wake kuhusu ujio wa EL 2015. Hili la hawa Wabunge 19 ni kama simuelewi, hekima itumiwe zaidi hapa.
Mnyika ni yule yule.
 
Wakili Kibatala,

Ombi lao la kubaki na ubunge halijaelekezwa kwa yoyote kati ya wadaiwa (Mdee na wenzake)

Katika maombi yao hawasemi kama wanataka kuendelea kuwa wanachama wa Chadema ila wanataka kuendelea na ubunge.
 
Back
Top Bottom