Haya wahi chato ukalale pale pembeni yake.Umesahau na lile alilowaambia chawa wake kuwa hawezi kwenda ikulu mwenyew kama vile mtu anaeenda kuchumbia. Lakini baada ya muda akatinga kimya kimya kivyake, bahati nzuri camera za ikulu zikamnasa.
View attachment 2224285
Bangi ya Leo Kali, umeipata wapi nami niende[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2][emoji2]Diesel tsh 100000 unapata lita 30.4
Kwa gari mpya kwenye barabara nzuri (highway) lita moja kwa umbali wa kilometers 12.5....(lita 30.4 = kilometers 380).Diesel tsh 100000 unapata lita 30.4
Afadhalo wewe unapata angalao hiyo 30 litres. Nilisafiri kanda ya Xiwa, laki 1 unapata diesel lita 29.Diesel tsh 100000 unapata lita 30.4
Ni uroho tu unaowasumbua.Kwa hiyo kauli ya Mnyika inaonesha kweli kina Mdee ni ulafi ndio umewapeleka bungeni, na ikitokea siku wakatimuliwa kule, wapata aibu kubwa kwenye maisha yao.
Jaa mwana malegeza shibe mwana malevyaMnyika anasema “Baada ya kutokea yaliyotokea nilikutana na Bulaya na wenzake ili dhamira yangu iniongoze, sawa wamekosea, lakini je, wapo tayari kutubu na kurudi?”
Anasema, “Nilichokigundua baada ya kufanya mazungumzo nao, mdomoni wanasema wanakipenda Chadema na wapo tayari kurudi na kushiriki kwenye chama, lakini tuwaachie ubunge. Binafsi nilichokigundua kinachowaweka bungeni ni masilahi ya ubunge pekee, hakuna kingine,”.
Hatua kwa hatua sakata la kina Mdee walivyomwagwa
Ni wabunge wa Viti Maalumu waliofukuzwa Chadema kwa kukubali kuapishwa kinyume na maelekezo ya chama.www.mwananchi.co.tz
Dah! Hatari sanaDiesel tsh 100000 unapata lita 30.4
Nimetonywa kuwa kuna jambo linatengenezwa ili hao cov 19 waendelee na ubunge, ila kila mbunge atakuwa anamega kiwango fulan cha kile wanachopokea bungeni na kukiingiza katika account ya mwenyekigoda, ambae na yeye atakuwa anakata fungu kidogo kulipa genge lake ambalo ni la watu kama watano viongozi wa juu kabisa wa chama, ili lisisanuke kuhusu mpango huo wa cov 19.
Siku hizi kila mwanasiasa hakosi chawa wa kumtetea mitandaoni.Kwel machizi wengi nchi hiii
Diesel tsh 100000 unapata lita 30.4
niliwahi kusikia eti hakuna adui wa kudumu kwenye siasa,hujawahi kusikia?Hata mimi mwaka 2015 niliposikia kuwa mgombea wa chama kilichojiita makini atakuwa Lowasa, nilipinga hivyo hivyo hasa baada ya kulishwa maneno hapo kabla kuwa viongozi wa chama hicho huwa na misimamo isiyoyumba au kubadilika badilika. Ila mwisho wa siku mimi ndo niliona aibu badala ya kuona aibu wao walioshiriki kumeza matapishi yao. Katika siasa zetu za Tanzania kinachoangaliwa na hawa wanasiasa uchwara ni matumbo yao na familia zao.
View attachment 2224296
View attachment 2224298
View attachment 2224299
Mnyika ni yule yule.Mh Mnyika ni kiongozi nilimheshimu sana wakati wa CDM ya DR Slaa, akiwa bungeni na pale alipoonesha msimamo wake kuhusu ujio wa EL 2015. Hili la hawa Wabunge 19 ni kama simuelewi, hekima itumiwe zaidi hapa.
yes, kama ukiipatia fursa itawale nafsi yako, ni kweli ubongo ni lazima ufubae.Njaa hupumbaza na kufubaza ubongo
Ana kimeo Cha kuuza Jimbo la ubungo kwa Hawa Ngumbi, watu wanasubiri atoe kichwa tu wamuwasheMnyika kumbe yupo? Long time sijamsikia