Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Si kweliMmawia ukiona watu nanahama nyumbani kwako bila kufukuzwa ujue nyumba yako inakasoro na inavuja, lazima wahamie nyumba itakayo wafaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweliMmawia ukiona watu nanahama nyumbani kwako bila kufukuzwa ujue nyumba yako inakasoro na inavuja, lazima wahamie nyumba itakayo wafaa.
Jipe moyo man,huo ndo ukamanda kweri kweri'hiiiiiii,,,?Vp kuhusu kina Gekul, Silinde, Waitara na wengineo??
Chadema siyo Chama cha mapambio. Ukihamia Chadema unafundishwa ukakamavu uvumilivu na ujasiri hakuna pambio. Sasa wale waimbaji wa mapambio lazima wakimbilie chama cha kusifu kuabudu ili waweze kuimba mapambio yao.
Swadakta, umeipa heshima inayoistahili hasa.Chadema NI tambara la DEKI
Vp kuhusu kina Gekul, Silinde, Waitara na wengineo??
Chadema siyo Chama cha mapambio. Ukihamia Chadema unafundishwa ukakamavu uvumilivu na ujasiri hakuna pambio. Sasa wale waimbaji wa mapambio lazima wakimbilie chama cha kusifu kuabudu ili waweze kuimba mapambio yao.
Hivi utasemaje NYALANDU karudi CCM kwa kushindwa ubunge wakati alijiuzulu UBUNGE mwenyewe kwa hiari yake mwenyewe wakati anahamia CHADEMA?????Hata kesho ukisikia Nape kahamia upinzani,pasi na shaka atapewa na uongozi wa juu wa chama na vigeregere atapigiwa.
Siku akiamua kurudi CCM ataimbiwa nyimbo za umamluki na usaliti.
Hawa ndo wapinzani wa CCM hapa Tanzania.
Sijui wanasiasa huwa mnawaonaga wananchi hawapambanui mambo ama!!Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu na Seleman Mathew, ambao wote walikuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, wangeondoka kutokana na mienendo yao waliyokuwa wakiionyesha kwa hivi karibuni.
“Hawa ni wasaliti, wamejiongeza wameshindwa kuvumilia baada ya mateso ya kuporwa ushindi wa ubunge mwaka 2020. Chadema itasonga mbele hadi mabadiliko, uhuru na haki na demokrasia vipatikane nchini.
“Mapengo yao yatazibwa na makamanda wengine na mapambano yanaendelea,” alisema Mnyika bila kutaka kufafanua kwa kina.
Juzi CCM iliwapokea Nyalandu na Mathew ambao ni makada wake wa zamani waliokihama chama hicho kati ya mwaka 2015 na 2017 na kwenda Chadema ambako hivi karibuni Nyalandu alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mathew kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini.
Wawili hao walitangaza uamuzi huo katika mkutano mkuu maalumu wa CCM jijini Dodoma mbele ya Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan, huku wakiweka bayana masaibu waliyopitia na uamuzi wao huo wa kurejea kwenye chama tawala.
Nyalandu, aliyekuwa wa pili kutambulishwa na Rais Samia aliikana ahadi yake kutoihama Chadema ikiwa zimepita siku 1,278 tangu alipojiondoa CCM.
ADVERTISEMENT
Kwa nyakati tofauti, Nyalandu amekuwa akijinasibu kuwa hawezi kuihama Chadema, kwa mara ya kwanza alimtaka Machi mwaka 2019 akisema yeye hakwenda Chadema kwa mafuriko. Msingi wa kauli ulitokana na kitendo cha Edward Lowassa kurejea CCM akitokea Chadema.
Kama hiyo haitoshi, Nyalandu alirejea kauli hiyo Agosti 2020 kwa staili tofauti katika mkutano mkuu wa Chadema wa kuchagua jina moja la mgombea urais aliyepeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu uliopita.
Katika mkutano huo, Nyalandu alishindwa na mpinzani wake, Tundu Lissu na baada ya matokeo kutangazwa aliwaondoa hofu wanachama wa Chadema kuhusu mapenzi yake ndani ya chama hicho, akisisitiza yupo pamoja nao.
Lakini, jana katika mkutano mkuu wa CCM akitumia staili ya kunukuu baadhi ya vifungu vya biblia Nyalandu alisema: “Hakuna furaha izidiyo furaha ya mtoto arejeapo nyumbani.
“Wimbo wa bwana hauimbiki katika nchi ya ugenini, Mzee Sumaye (Frederick), Lowassa (Edward) na Dk Slaa (Wilbroad) ni mashuhuda wachache kati ya wengi kwa nini wimbo wa bwana hauimbiki katika nchi ya ugenini. Nakupongeza Rais kwa uongozi wako shupavu, nakushukuru kwa kukubali kunipokea na kunisamehe pamoja na kuniruhusu kurejea chamani,” alisema Nyalandu ambaye ni wazari wa zamani wa Maliasili na Utalii.
Kwa upande wake, Mathew alisema: ‘‘Nimekuja hapa kusema neno moja, nimeamua kurudi nyumbani. Nilikuwa ndani ya CCM na niliondoka CCM. Lakini, kadri unavyoendelea kuwa nje ya Chama cha Mapinduzi basi unajihisi una upungufu, leo (jana) nina furaha kubwa ya kuja mbele yenu wajumbe wa mkutano mkuu na kamati kuu,” alisema Mathew, maarufu ‘Messi’ aliyewahi kuingia kwenye mikwaruzano na mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.
Sio katika uchaguzi mkuu tu, bali hata kwenye kura za maoni ndani ya CCM za mwaka 2015 ambazo Nape pia alimshinda Messi. Hatua hiyo ilizua sintofahamu na kuamua kutoka CCM kuhamia Chadema.
Seleman Mathew amerudi CCM kwasababu anajua Nape harudishwi na Chama kugombea Ubunge 2025.Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu na Seleman Mathew, ambao wote walikuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, wangeondoka kutokana na mienendo yao waliyokuwa wakiionyesha kwa hivi karibuni.
“Hawa ni wasaliti, wamejiongeza wameshindwa kuvumilia baada ya mateso ya kuporwa ushindi wa ubunge mwaka 2020. Chadema itasonga mbele hadi mabadiliko, uhuru na haki na demokrasia vipatikane nchini.
“Mapengo yao yatazibwa na makamanda wengine na mapambano yanaendelea,” alisema Mnyika bila kutaka kufafanua kwa kina.
Juzi CCM iliwapokea Nyalandu na Mathew ambao ni makada wake wa zamani waliokihama chama hicho kati ya mwaka 2015 na 2017 na kwenda Chadema ambako hivi karibuni Nyalandu alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mathew kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini.
Wawili hao walitangaza uamuzi huo katika mkutano mkuu maalumu wa CCM jijini Dodoma mbele ya Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan, huku wakiweka bayana masaibu waliyopitia na uamuzi wao huo wa kurejea kwenye chama tawala.
Nyalandu, aliyekuwa wa pili kutambulishwa na Rais Samia aliikana ahadi yake kutoihama Chadema ikiwa zimepita siku 1,278 tangu alipojiondoa CCM.
ADVERTISEMENT
Kwa nyakati tofauti, Nyalandu amekuwa akijinasibu kuwa hawezi kuihama Chadema, kwa mara ya kwanza alimtaka Machi mwaka 2019 akisema yeye hakwenda Chadema kwa mafuriko. Msingi wa kauli ulitokana na kitendo cha Edward Lowassa kurejea CCM akitokea Chadema.
Kama hiyo haitoshi, Nyalandu alirejea kauli hiyo Agosti 2020 kwa staili tofauti katika mkutano mkuu wa Chadema wa kuchagua jina moja la mgombea urais aliyepeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu uliopita.
Katika mkutano huo, Nyalandu alishindwa na mpinzani wake, Tundu Lissu na baada ya matokeo kutangazwa aliwaondoa hofu wanachama wa Chadema kuhusu mapenzi yake ndani ya chama hicho, akisisitiza yupo pamoja nao.
Lakini, jana katika mkutano mkuu wa CCM akitumia staili ya kunukuu baadhi ya vifungu vya biblia Nyalandu alisema: “Hakuna furaha izidiyo furaha ya mtoto arejeapo nyumbani.
“Wimbo wa bwana hauimbiki katika nchi ya ugenini, Mzee Sumaye (Frederick), Lowassa (Edward) na Dk Slaa (Wilbroad) ni mashuhuda wachache kati ya wengi kwa nini wimbo wa bwana hauimbiki katika nchi ya ugenini. Nakupongeza Rais kwa uongozi wako shupavu, nakushukuru kwa kukubali kunipokea na kunisamehe pamoja na kuniruhusu kurejea chamani,” alisema Nyalandu ambaye ni wazari wa zamani wa Maliasili na Utalii.
Kwa upande wake, Mathew alisema: ‘‘Nimekuja hapa kusema neno moja, nimeamua kurudi nyumbani. Nilikuwa ndani ya CCM na niliondoka CCM. Lakini, kadri unavyoendelea kuwa nje ya Chama cha Mapinduzi basi unajihisi una upungufu, leo (jana) nina furaha kubwa ya kuja mbele yenu wajumbe wa mkutano mkuu na kamati kuu,” alisema Mathew, maarufu ‘Messi’ aliyewahi kuingia kwenye mikwaruzano na mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.
Sio katika uchaguzi mkuu tu, bali hata kwenye kura za maoni ndani ya CCM za mwaka 2015 ambazo Nape pia alimshinda Messi. Hatua hiyo ilizua sintofahamu na kuamua kutoka CCM kuhamia Chadema.
"politics is who gets what and how"Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu na Seleman Mathew, ambao wote walikuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, wangeondoka kutokana na mienendo yao waliyokuwa wakiionyesha kwa hivi karibuni.
“Hawa ni wasaliti, wamejiongeza wameshindwa kuvumilia baada ya mateso ya kuporwa ushindi wa ubunge mwaka 2020. Chadema itasonga mbele hadi mabadiliko, uhuru na haki na demokrasia vipatikane nchini.
“Mapengo yao yatazibwa na makamanda wengine na mapambano yanaendelea,” alisema Mnyika bila kutaka kufafanua kwa kina.
Juzi CCM iliwapokea Nyalandu na Mathew ambao ni makada wake wa zamani waliokihama chama hicho kati ya mwaka 2015 na 2017 na kwenda Chadema ambako hivi karibuni Nyalandu alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mathew kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini.
Wawili hao walitangaza uamuzi huo katika mkutano mkuu maalumu wa CCM jijini Dodoma mbele ya Mwenyekiti mpya wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan, huku wakiweka bayana masaibu waliyopitia na uamuzi wao huo wa kurejea kwenye chama tawala.
Nyalandu, aliyekuwa wa pili kutambulishwa na Rais Samia aliikana ahadi yake kutoihama Chadema ikiwa zimepita siku 1,278 tangu alipojiondoa CCM.
ADVERTISEMENT
Kwa nyakati tofauti, Nyalandu amekuwa akijinasibu kuwa hawezi kuihama Chadema, kwa mara ya kwanza alimtaka Machi mwaka 2019 akisema yeye hakwenda Chadema kwa mafuriko. Msingi wa kauli ulitokana na kitendo cha Edward Lowassa kurejea CCM akitokea Chadema.
Kama hiyo haitoshi, Nyalandu alirejea kauli hiyo Agosti 2020 kwa staili tofauti katika mkutano mkuu wa Chadema wa kuchagua jina moja la mgombea urais aliyepeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu uliopita.
Katika mkutano huo, Nyalandu alishindwa na mpinzani wake, Tundu Lissu na baada ya matokeo kutangazwa aliwaondoa hofu wanachama wa Chadema kuhusu mapenzi yake ndani ya chama hicho, akisisitiza yupo pamoja nao.
Lakini, jana katika mkutano mkuu wa CCM akitumia staili ya kunukuu baadhi ya vifungu vya biblia Nyalandu alisema: “Hakuna furaha izidiyo furaha ya mtoto arejeapo nyumbani.
“Wimbo wa bwana hauimbiki katika nchi ya ugenini, Mzee Sumaye (Frederick), Lowassa (Edward) na Dk Slaa (Wilbroad) ni mashuhuda wachache kati ya wengi kwa nini wimbo wa bwana hauimbiki katika nchi ya ugenini. Nakupongeza Rais kwa uongozi wako shupavu, nakushukuru kwa kukubali kunipokea na kunisamehe pamoja na kuniruhusu kurejea chamani,” alisema Nyalandu ambaye ni wazari wa zamani wa Maliasili na Utalii.
Kwa upande wake, Mathew alisema: ‘‘Nimekuja hapa kusema neno moja, nimeamua kurudi nyumbani. Nilikuwa ndani ya CCM na niliondoka CCM. Lakini, kadri unavyoendelea kuwa nje ya Chama cha Mapinduzi basi unajihisi una upungufu, leo (jana) nina furaha kubwa ya kuja mbele yenu wajumbe wa mkutano mkuu na kamati kuu,” alisema Mathew, maarufu ‘Messi’ aliyewahi kuingia kwenye mikwaruzano na mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.
Sio katika uchaguzi mkuu tu, bali hata kwenye kura za maoni ndani ya CCM za mwaka 2015 ambazo Nape pia alimshinda Messi. Hatua hiyo ilizua sintofahamu na kuamua kutoka CCM kuhamia Chadema.
Upinzani waache tabia ya kukumbatia wanaccm...wavune wasio na vyama hasa vijanaNinachokiona hao wanaokimbia ccm kwa kukosa cheo au nafasi kwenye majimbo watakimbilia ACT Wazalendo.
Chadema itawakataa na inatakiwa iwakatae ili IINUE Vijana wao wanaokipigania chama usiku na mchana.
Hivi Ile kesi yake ya takukuru imeishia wapi? Au imepotea kwa kuunga juhudiSeleman Mathew amerudi CCM kwasababu anajua Nape harudishwi na Chama kugombea Ubunge 2025.
Unamaanisha kuwa CCM na CHADEMA zinavuja? Maana kila kukicha wanabadilishana wanachama tu.Mmawia ukiona watu nanahama nyumbani kwako bila kufukuzwa ujue nyumba yako inakasoro na inavuja, lazima wahamie nyumba itakayo wafaa.