Mnyika: Nyalandu na mwenzake ni wasaliti, wameshindwa kuvumilia baada ya mateso ya kuporwa ushindi wa ubunge mwaka 2020

Na bado, hawa ni kama kenge mpaka damu itoke masikioni ndio wanasikia
 
Jipe moyo man,huo ndo ukamanda kweri kweri'hiiiiiii,,,?
Chama kikosa intelijensia huwa kinalalamika baada ya madhara kutokea ya kupokea yeyote anaekuja mkihisi ni mwenzenu kumbe katumwa.
 
Hivi huyo mnyika hajawajua vizuri
Wanasiasa...leo yuko huku kesho yuko
Kule
Leo kasema hiki kesho anasema kile
Leo anakubali kesho anakata

Ova
 
Chadema kwisha habari yenu,Mlimfukuza Slaa na kumkumbati fisadi Lowossa kwa maneno ya kejeli eti chadema ni kama train kuna wanaopanda na kushuka njiani huku safari ikiendelea,hawakujua kuwa kashuka Kapten wa kuendesha chombo 😄😄😁Naye aliwaambia mmepakua choo mmekileta sebureni lazima kiwanukie tu, sasahivi chadema wameparanyika wote walikumbati wamewakimbia tena kwa kejeri kubwa, sasahivi wanatafuta maneno mepesi eti wananunuliwa, utafikiri ccm kununua imeanza leo kuna kipindi enzi za Slaa pale Arusha chadema ilikwisha fukuza madiwani watano,kwatuuma za kununuliwa na uchunguzi ukarudiwa wakachua viti vyote,Tokea kuondoka slaa hawajawai kushinda uchunguzi wowote wa marudio,ukiwaambia Slaa ndiye alikuwa injini ya Chadema wanatukana matusi,enti Mbowe ndio mpinzani wa kweli,Slaa anaondoka chadema aliacha wabunge zaidi ya 70 sasahivi chadema ina mbunge mmoja bado mnajipa matumaini kuwa Mbowe ni mwanasiasa mahili.Mwanasiasa gani mahili anayeshindwa kujua mtego wa adui yake? Mbowe kila mtu anayekuja kwake anaona sawa eti mtaji wa mwanasiasa ni watu,mpaka akaleta wakina Wema sepetu, chadema kidogo igeuke bongo movie 😁😁😄, Kifo cha chadema Mbowe anausika pakubwa asitafutwe mchawi.
 
Mnyika John akue sasa...asizungumzie kila tukio. Muhimu ni kufuata matakwa ya katiba ya chama kwa kilichotokea; aache kuzungumzia watu
 
Hata kesho ukisikia Nape kahamia upinzani,pasi na shaka atapewa na uongozi wa juu wa chama na vigeregere atapigiwa.
Siku akiamua kurudi CCM ataimbiwa nyimbo za umamluki na usaliti.
Hawa ndo wapinzani wa CCM hapa Tanzania.
Hivi utasemaje NYALANDU karudi CCM kwa kushindwa ubunge wakati alijiuzulu UBUNGE mwenyewe kwa hiari yake mwenyewe wakati anahamia CHADEMA?????
 
Sijui wanasiasa huwa mnawaonaga wananchi hawapambanui mambo ama!!

Yaani useme ulishawajua mienendo yao halafu huku tayari mliwapa uongozi huo wa kikanda kama mlishawajua mienendo yao ni yakisaliti mlishindwaje kuwavua nyazifa adi usubiri mtu aende kwingine ndo uanze bla bla!.
 
Seleman Mathew amerudi CCM kwasababu anajua Nape harudishwi na Chama kugombea Ubunge 2025.
 
"politics is who gets what and how"
 
Ninachokiona hao wanaokimbia ccm kwa kukosa cheo au nafasi kwenye majimbo watakimbilia ACT Wazalendo.

Chadema itawakataa na inatakiwa iwakatae ili IINUE Vijana wao wanaokipigania chama usiku na mchana.
 
Kuhama chama inakuwaje Ni usaliti? Binafsi sielewi hoja hizi za wapinzani.wakitoka ccm kwenda upinzani Sio wasaliti? Inasikitisha Sana chadema wanakuwa na fikra hizi wakati wanapigania demokrasia
 
Ninachokiona hao wanaokimbia ccm kwa kukosa cheo au nafasi kwenye majimbo watakimbilia ACT Wazalendo.

Chadema itawakataa na inatakiwa iwakatae ili IINUE Vijana wao wanaokipigania chama usiku na mchana.
Upinzani waache tabia ya kukumbatia wanaccm...wavune wasio na vyama hasa vijana
 
Mmawia ukiona watu nanahama nyumbani kwako bila kufukuzwa ujue nyumba yako inakasoro na inavuja, lazima wahamie nyumba itakayo wafaa.
Unamaanisha kuwa CCM na CHADEMA zinavuja? Maana kila kukicha wanabadilishana wanachama tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…