Ndio ninyi mkitaka Kutoka nje mnaomba kusindikizwa sababu ya HOFU.Mjinga baba yako na mama yako
Sijakutukana,Jiepushe na matusi, kama huwezi jibu hoja just skip and forge ahead. Siyo matusi
Umekuja kwa matusi nakujibu kwa matusi......Mjinga baba yako na mama yako na naishi na mama yako nyumbani.
Njaa zao tu wasije kukosa ruzuku, wananchi gani hao wawatake kugombea?Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa
Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.
===
"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika
Source: Jambo TV
Hiyo kampuni ya ulinzi italipwa na nani wakati mwenyekiti wa chama anatumia hela za chama kujengea nyumba zake za kuishi na kusomesha watoto wake waliopo Marekani?Safari hii CHADEMA iingiè Mkataba na Kampuni za Ulinzi za GARDA au GROUP4 ili kila Kituo kuwe na Walinzi wa Kura wenye Silaha.
Tumechoka kuibiwa.
Mwamba hana Njaa hiyo, acheni Propaganda.mwenyekiti wa chama anatumia hela za chama kujengea nyumba zake za kuishi na kusomesha watoto wake waliopo Marekani
Kauli hizi ndo zinamfanya akipita humu aone kuwa nyinyi bado mmelala, hata mkipigwa za join the chain hamshtuki.Mwamba hana Njaa hiyo, acheni Propaganda.
Tunachangia sana ili kukijenga Chama, CAG mwenyewe hajawahi kukuta Ruzuku zimeibiwa.Kauli hizi ndo zinamfanya akipita humu aone kuwa nyinyi bado mmelala, hata mkipigwa za join the chain hamshtuki.
Kweli kabisa !Wawakilishi wa vyama ndiyo kazi yao, wengine baada ya kupiga kura rudi nyumbani, usubirie matokeo!
Nakupeni wasio kwa ccm na chadema, chagueni Wawakilishi waaminifu, sio mnaweka mtu mwenye njaa akionyeshwa laki moja anapangawa.