Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sasa wewe kinachokuuma nini??Leta yako nzito.Mlikuwa mnapima upepo?.Mkishiriki au msiposihiriki haibadilishi lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe kinachokuuma nini??Leta yako nzito.Mlikuwa mnapima upepo?.Mkishiriki au msiposihiriki haibadilishi lolote.
Mzee naona umeshaanza kuogopa nguvu ya kulinda kura.... Tunataka viongozi tuliowachagua wenyewe hivyo tuwe na uchaguzi huru, wa haki na ambao unaweza kuhakikiwaMawakala wenu tu 2020 walinunuliwa karibia wote kwenye majimbo mliyosema ndo ngome zenu, unadhani kuna mwananchi gani ataenda kulinda kura za Chadema, Uongo tu wa wanasiasa, wanatafuta gear ya kusema public opinion ndo imefanya washiriki uchaguzi, haha
Viongozi mliowachagua wa upinzani si ndo hao walinunuliwa wote kama malaya na mwendazake. Fanya kazi mkuu na uache kuamini wanasiasaMzee naona umeshaanza kuogopa nguvu ya kulinda kura.... Tunataka viongozi tuliowachagua wenyewe hivyo tuwe na uchaguzi huru, wa haki na ambao unaweza kuhakikiwa
Tunafanya kazi na kuweka viongozi tunaowataka...Viongozi mliowachagua wa upinzani si ndo hao walinunuliwa wote kama malaya na mwendazake. Fanya kazi mkuu na uache kuamini wanasiasa
Walishindwa kulinda au walifukuzwa?Mawakala wenu tu 2020 walinunuliwa karibia wote kwenye majimbo mliyosema ndo ngome zenu, unadhani kuna mwananchi gani ataenda kulinda kura za Chadema, Uongo tu wa wanasiasa, wanatafuta gear ya kusema public opinion ndo imefanya washiriki uchaguzi, haha
Gia yao ya kususia wamegundua ilishabumaMawakala wenu tu 2020 walinunuliwa karibia wote kwenye majimbo mliyosema ndo ngome zenu, unadhani kuna mwananchi gani ataenda kulinda kura za Chadema, Uongo tu wa wanasiasa, wanatafuta gear ya kusema public opinion ndo imefanya washiriki uchaguzi, haha
Nimekuita useme utapiga ama hupigi chama kinachukua ruzuku ya walipa kususia uchaguzi haiwezekani!Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Msimamo wangu uko wazi, Tanzania hakuna uchaguzi, Bali maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Mimi sio msemaji wa cdm, wao kama chama ni juu Yao kushiriki ama kuacha, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua ni mwiko kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi katika mazingira haya ya tume ya mwenyekiti ww ccm.Nimekuita useme utapiga ama hupigi chama kinachukua ruzuku ya walipa kususia uchaguzi haiwezekani!
Wananchi wa wapi hao. Mbona mimi SimoKatibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa
Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.
===
"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika
Source: Jambo TV
Au siyo? Ngoja tusubirieKatibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa
Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.
===
"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika
Source: Jambo TV
Tutakula nao sahani Moja inchi yetu sote hii mazeeKinachotekea wasimamizi wote wale yaani:
1. Msimamizi mkuu.
2. Msimamizi msaidizi namba moja.
3. Msimamizi msaidizi mamba mbili.
4. Karani muongoza wapiga kura.
Wapewa maelekezo na mkurugenzi kivyovyote akuna mpinzani kupita.
Wanahusika kwenye kupiga kura zaidi ya mia mia kwenye vituo, wanatumbukiza kwenye balloon box.
Wanawafanyia fitina mawakala wa upinzani waonekane hawajatimiza vigezo vya kusimamia kura za wagombea wao hivyo lango linakuwa wazi kwa wizi.
Nishawai kushuhudia kura zinapigwa upya usiku kituo fulani hivi yameletwa mabox mapya na karatasi mpya, wasimamizi wanashirikiana kukocpy namba za ID ya vitambulisho vya wapiga kura zilizopigiwa upinzani na kupiga upya kura kupigia CCM.
Upinzani mjipange sana, jamaa wanambinu chafu sana.
Saizi wapo wanadiscuss sehemu zenye shida upande wao wanajipanga wagombea wa upinzani pindi wanaporudisha fomu wawapore njiani kabla hazijafika kwa wasimamizi wa uchaguzi.
Wamepanga waanze na uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jamaa ni wanafiki nawaona you turnKatibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa
Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.
===
"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika
Source: Jambo TV
Yeye kasema uongo na wewe ukaleta uongo wako, hakuna aliyeongwa 2020 bali msimamizi aliwekewa bunduki kichwani ili ubadiri matokeoMawakala wenu tu 2020 walinunuliwa karibia wote kwenye majimbo mliyosema ndo ngome zenu, unadhani kuna mwananchi gani ataenda kulinda kura za Chadema, Uongo tu wa wanasiasa, wanatafuta gear ya kusema public opinion ndo imefanya washiriki uchaguzi, haha
Mimi nilikuwa msimamizi 2020, hatukuwekewa bunduki sisi. Mawakala wenu wengi walikuwa hawajielewi na JPM aliwapiga kihalali kabisa, katika hilo hata msiongee.Yeye kasema uongo na wewe ukaleta uongo wako, hakuna aliyeongwa 2020 bali msimamizi aliwekewa bunduki kichwani ili ubadiri matokeo
Umetoa mawazo ya kijinga sana,Naweza, na lazima uwe tayari kufa. Kufa, kufa, kufa au uwe na mabomu na wewe wakirusha na wewe unarusha, short of that ni ngumu maana tunaogopa kufa. Tukiwa kama wakenye, then tutazilinda kura.
Jiepushe na matusi, kama huwezi jibu hoja just skip and forge ahead. Siyo matusiUmetoa mawazo ya kijinga sana,
Ningependa kujua ikiwa;
1. Ni Mwanaume au Mwanamke
2. Umeoa au Bado unaishi nyumbani.