johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Una Akili Sana πKuna mawili:
Ama chadema itakufa siku hiyo endapo Mbowe atashinda.
Au chadema itapiga hatua ya ustawi endapo Lisu atashinda.
Nyie wanaharakati uchwara mnaota ndoto za mchana!! Poleni sana maana Lissu atanyolewa bila maji.Ndio Lissu analeta uhuru wa Chama wa pili,
Kuwa tawi la CCM hapana
Na wewe nyumbu wa Sultan Mbowe tuondolee uchawa wako hapa.Nyie wanaharakati uchwara mnaota ndoto za mchana!! Poleni sana maana Lissu atanyolewa bila maji.
Hili jukwaa huru.Na wewe nyumbu wa Sultan Mbowe tuondolee uchawa wako hapa.
Sasa mbona wewe unawakandia watu unawaita wanaharakati uchwara? Ukitumia lugha ya kuudhi tegemea kujibiwa kwa lugha hiyo hiyo sawa sawa dogo?Hili jukwaa huru.
Wanaharakati uchwara na wahuni nendeni mkamchomoe Slaa kinguvu basi!Sasa mbona wewe unawakandia watu unawaita wanaharakati uchwara? Ukitumia lugha ya kuudhi tegemea kujibiwa kwa lugha hiyo hiyo sawa sawa dogo?
Dunia nzima inaitazamia siku hiyo kwa hamu kubwa!Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema tarehe 21 January 2025 ni zaidi ya Uchaguzi kwani ndio Chadema Day
Mnyika amesema tarehe 21 January 1993 Chadema ilipata Usajili kamili hivyo 2025 inazaliwa upya na kuwa STRONGER TOGETHER
Ahsanteni Sana
Nawatakia Dominica NJEMA πΉ
Mwambie aanze kujiandaa kisaikokojiaKauli ya Mnyika inadhihirisha kuwa na yeye ni muumini wa Mabadiliko ndani ya CHADEMA.
TL anaenda kuwa mwenyekiti 21st January 2025.
Hakunaga mwenye Njaa hapo Chadema kama Mbowe hadi akaandamana na Bint yake kutetea Mkate ππHapoy Birthday Chama kubwa - sisi wanachama, wajumbe na wanachi wa Tanzania tumeapa kukulinda kwa gharama zote.
Hawezi akatokea mtu ana genge la watu kutoka huko walikotoka na njaa zao eti kujaribu kutusambaratisha, hilo halitakubaliwlka kabisa.
Mnyika ni Mseminari siyo Kijitonyama Kwaya πMwambie aanze kujiandaa kisaikokojia
Mseminari J J Mnyika ameamua kujipambanua ππChadema Day Kitaifa sana....Lumumba wametowa macho
Hiyo siku nchi INASIMAMA