Kama mnataka machafuko ili muingie madarakani mtakuwa mmeshashindwa siasa acheni mfanye mambo mengine.Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura.
Je kwa sheria iliyopitishwa majuzi ni nani mwenye jukumu la kuandaa uchaguzi wa serekali za mitaa, je ni kile kinachoitwa tume huru ya uchaguzi ama ni tamisemi? Kama kuna mkanganyiko tafutenis tafsiri mahakani, lakini msikatae wito.Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15
Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?
Ayo tv
Usikatae wito kataa unaloitiwa baada ya kuambiwa ukishaitika kama unaona sioKatibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15
Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?
Ayo tv
Damu za majizi ya ccm ni lazima zimwagike. Bila damu kumwagika huku Africa ni ngumu heshima kupatikana.Mnataka mmwage damu za watu ?
Mbona ccm wako madarakani kwa kumwaga damu za watu na inaonekana ni poa tu?Kama mnataka machafuko ili muingie madarakani mtakuwa mmeshashindwa siasa acheni mfanye mambo mengine.
Hujui usemaloMachafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura.
Hata Zimbabwe enzi za Mugabe, na huko Sudan kwa Elibashir walikuwa wanasema kama ww, yaliyotokea ni historia.Hujui useria malo
CCM msijione mna hati miliki na ile nchi, wananchi wakiamua mtatoka tuu na ni swala la mudaNdoto ya mchana 🐼😄
Huyu si ccm wanasema kasusa kufanya kazi za Chadema, kwani bado yupo?
Hilo litakiwa jambo jema kwa CCM......Msije kwenda kwenye uchaguzi kwa katiba hii na tume hii. Tumechoka kusikia malalamiko na manung'uniko toka kwenu kwa visingizio vinavyoepukika.
Ni kweli, maana kujua nisemalo ni kukubali kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi.Hujui usemalo
Honorable learned counsel and prominent journalist P.Mwaliko ni umekosewa, ni kikao cha kutunga kanuni!.
Ila nijuavyo mimi sheria mpya ya uchaguzi imeifuta sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo nawashauri Chadema wahudhurie na kuomba uchaguzi wa serikali za mitaa ufanywe mwakani na usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi kama nilivyo shauri hapa Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?
Na hapa Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!
P
Inaonekana poa kwa kina nani?Mbona ccm wako madarakani kwa kumwaga damu za watu na inaonekana ni poa tu?
Hali ikoje huko Sudan ?matokeo yake Al Bashir yuko salama zaidi kuliko waliofanya fujo atoke madarakani.Hata Zimbabwe enzi za Mugabe, na huko Sudan kwa Elibashir walikuwa wanasema kama ww, yaliyotokea ni historia.
Ni watu wengi sana wanasema wasishiriki uchaguzi lakini kutoshiriki watakuwa wanampa CCM advantage kubwa sana na unaweza kuwa ndiyo mwisho wa CHADEMA. CCM anasurubiri kwa hamu mno wasusie ili aweke vyama bandia bungeni. Najua ni kweli kuwa kwa katiba hii CCM itapora tena ushindi lakini huwezi kujua... wananchi wanaweza kusema liwalo na liwe.Suluhisho ni nini? Tuwaache nyani watawale shamba la mahindi?
ccm mko kwenye "comfort zone " .Tena mazoea ya kuiba kura ndiyo kwanza yanawafanya mkunje nne mkiwa mmekaa kwenye "comfort zone" yenu . 2025 ; iwe watanzania wamelala au wameamka , ccm mtajua hamjui .Ndoto ya mchana 🐼😄
Huo umwagaji wa damu kwa wapinzani uko chaguzi nyingi, ila kwakuwa ww unafaidika na huo uhayawani huwa unaona sawa tu.Inaonekana poa kwa kina nani?
Kama mnataka damu zimwagike mnazo sehemu za kuhifadhi wapendwa wenu wakati damu ikimwagika ?
Mwanasiasa yoyote anayewaza machafuko ndani ya nchi yake ni mwanasiasa wa hovyo hapaswi kupewa hata Kijiji.
Musikatae"WITO" hiyo ndio hekima, Mungu atawatangulia.Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15
Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?
Ayo tv
Mkuu tambua kuwa, hata binadamu akifikia umri mkubwa (kuanzia 80÷) , huanza kufanya mambo ya kitoto, na yeye huona yupo sahihi tu! Ndivyo ninavyo kiona chama changuHapa ndio pale baadhi wanao wapendelea wanaotuendesha kama gari bovu kulingana na watakavyo wao,wawasiliane na waliotoa mwaliko iwapo hawataonyesha nia na utayari wa uwazi wa rasimu husika,yafanyike maamuzi mengine.Taarifa ya mambo yasiyo sawa na upendeleo wa chama twawala,zimfikie Lucas,Tlatla na wengine taifa ni letu sote sharti ujenzi wake uwe jumuishi.