Mnyika: Uamuzi wa mahakama umetengeneza athari na madhara kwenye mfumo wa utoaji haki katika taifa letu

Mnyika: Uamuzi wa mahakama umetengeneza athari na madhara kwenye mfumo wa utoaji haki katika taifa letu

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, ni kwamba mwenyekiti wa CCM alishaitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na alikuwa anasubiriwa arudi toka nje ya nchi ili aje apelekwe kwenye vyombo vya sheria.

Nakumbuka alisema hayo wakati shauri hilo lipo mahakamani kinyume na sheria. Hivi hizi kumbukumbu zangu zipo sawa?
 
Yaani Mnyika a.k.a msukuma feki! Hivi nyinyi si huwa mnasema mnafata sheria kesi ikiwa inaendelea wanasema hupaswi kuizungumzia ili usiweke shikizo kwa maamzi ya mahakama hawa CHADEMA vip au wao sheria sio kitu kwao ni kwa wengine!?
Anazungumzia hukumu. Hukumu ikishatolewa unaruhusiwa kuizungumzia. Wewe ndugu vipi? Kwani hata darasa la pili lilikushinda kumaliza?
 
Sikujua Kama Mnyika ni mweupe kivile hajui Mambo ya mahakama hayazungumziwi mpaka kesi iishe kwanini wanahitaji huruma wakati wanaweza kukata rufaa
 
Sikujua Kama Mnyika no mweupe kivile hajui Mambo ya mahakama hayazungumziwi mpaka kesi iishe kwanini wanahitaji huruma wakati wanaweza kukata rufaa
Wewe ndiyo mtupu kweli. Yaani hujui kuwa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa imekwisha na hukumu imekwishatolewa?

Unajifanya unajua kumbe ni mweupe kabisa.
 
Yule jaji amejidhalilisha sana !
Huyo Mustapha, huko mtaani, hafai kuitwa kusuluhisha hata ugomvi wa ng'ombe. Hana ukweli wa nafsi. Yaani rushwa ya cheo, imemfanya akubali kuwa mjinga kabisa, kama mtu ambaye hakuwahi kugusa darasa hata moja la sheria!!! Ameshindwa kunukuu hata kifungu kimoja cha sheria katika maamuzi yake.
 
😁😁😁
AIgmal.jpg
 
Wewe ndiyo mtupu kweli. Yaani hujui kuwa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa imekwisha na hukumu imekwishatolewa?

Unajifanya unajua kumbe ni mweupe kabisa.
Mweupe ni wewe Kama hujaridhika na shauri lolote la mahakama unakataa rufaa mahakama ya juu na sio kuitisha press na kuanza kulialia
 
Now it is obvious that the marriage between the Executive and Superior Judiciary has its purpose to deliver
 
Jambo baya ukishindwa kulitatua kwa mikono basi angalau likemee kwa Maneno ya mdomo wako. Kama haiwezekani kulisemea basi onesha kulisusia usifungamane nalo.

Haya ni Mafundisho kutika kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu Mohammad (s.a.w) Akiunasihi Ummat Muhammad
Mpe Kaizari ya Kaizari na mpe Mungu yaliyo ya Mungu.
 
Jaji kwenye hili umekiuka professional yako, umewakwaza watanzania kwa kiasi kikubwa mno kwa kuegemea upande mmoja.
Haki kwa bmshitakiwa yoyote ni kushinda kesi, na haki kwa anayeshitaki (mlalamikaji) ni kusinda kesi..kazi ipo!
 
Back
Top Bottom