Anazungumzia hukumu. Hukumu ikishatolewa unaruhusiwa kuizungumzia. Wewe ndugu vipi? Kwani hata darasa la pili lilikushinda kumaliza?Yaani Mnyika a.k.a msukuma feki! Hivi nyinyi si huwa mnasema mnafata sheria kesi ikiwa inaendelea wanasema hupaswi kuizungumzia ili usiweke shikizo kwa maamzi ya mahakama hawa CHADEMA vip au wao sheria sio kitu kwao ni kwa wengine!?
Hii si ni hukumu ishasomwa bhana !Sikujua Kama Mnyika ni mweupe kivile hajui Mambo ya mahakama hayazungumziwi mpaka kesi iishe kwanini wanahitaji huruma wakati wanaweza kukata rufaa
Unachotaka niniTaking taking without action. No Impact
Wewe ndiyo mtupu kweli. Yaani hujui kuwa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa imekwisha na hukumu imekwishatolewa?Sikujua Kama Mnyika no mweupe kivile hajui Mambo ya mahakama hayazungumziwi mpaka kesi iishe kwanini wanahitaji huruma wakati wanaweza kukata rufaa
Huyo Mustapha, huko mtaani, hafai kuitwa kusuluhisha hata ugomvi wa ng'ombe. Hana ukweli wa nafsi. Yaani rushwa ya cheo, imemfanya akubali kuwa mjinga kabisa, kama mtu ambaye hakuwahi kugusa darasa hata moja la sheria!!! Ameshindwa kunukuu hata kifungu kimoja cha sheria katika maamuzi yake.Yule jaji amejidhalilisha sana !
Mweupe ni wewe Kama hujaridhika na shauri lolote la mahakama unakataa rufaa mahakama ya juu na sio kuitisha press na kuanza kulialiaWewe ndiyo mtupu kweli. Yaani hujui kuwa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa imekwisha na hukumu imekwishatolewa?
Unajifanya unajua kumbe ni mweupe kabisa.
Mpe Kaizari ya Kaizari na mpe Mungu yaliyo ya Mungu.Jambo baya ukishindwa kulitatua kwa mikono basi angalau likemee kwa Maneno ya mdomo wako. Kama haiwezekani kulisemea basi onesha kulisusia usifungamane nalo.
Haya ni Mafundisho kutika kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu Mohammad (s.a.w) Akiunasihi Ummat Muhammad
Haki kwa bmshitakiwa yoyote ni kushinda kesi, na haki kwa anayeshitaki (mlalamikaji) ni kusinda kesi..kazi ipo!Jaji kwenye hili umekiuka professional yako, umewakwaza watanzania kwa kiasi kikubwa mno kwa kuegemea upande mmoja.
Dunia gani hiyo unayoiongelea?...Cdm ikikohoa dunia inasimama ikipiga chafya dunia inarejea kwenye mzunguko wake tena
Dunia ya wafipa alisahau mtoa mada kumalizia hio sentensi na kuwabariki wazunguDunia gani hiyo unayoiongelea?