kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Tangazo tayari kupitia wizara ya ulinzi mawaziri wako chini ya rais wetu mwema mama Samia(ukiangalia mihimili unaona wazi waziri anadondokea mhimili upi) ondoa shakaKheee, wanarudi kwa tangazo la Mnyika? Si walisema hawarudi mpaka rais autangazie ulimwengu na kuwaomba kurudi, sasa imekuwaje tena?