Mnyika: Viongozi waliokimbilia nje ya nchi sasa warudi nyumbani suala lao lilikuwa katika ajenda za Maridhiano

Kheee, wanarudi kwa tangazo la Mnyika? Si walisema hawarudi mpaka rais autangazie ulimwengu na kuwaomba kurudi, sasa imekuwaje tena?
Tangazo tayari kupitia wizara ya ulinzi mawaziri wako chini ya rais wetu mwema mama Samia(ukiangalia mihimili unaona wazi waziri anadondokea mhimili upi) ondoa shaka
 
Good warudi kwenye uwanja wa vita
 
Tatizo Lema na familia yake wameshanogewa na huko Canada.
 
akili za chadema wanazijuwa wenyewe maana hawajulikani wanataka nini na hawataki nini?
lema alikimbia nini? alitishwa na nani? yaani mtu kakimbia kesi zake za utapeli na madeni mnamuita mkimbizi wa ki siasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…