Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Tusubiri uchaguzi uishe halafu tuone Mbowe ataingia kwa gia gani ambapo WANACHADEMA watakuwa wanamsikiliza.
Ishu siyo kwamba watu wanamtaka Lisu kisa kumkomoa Mbowe, la hasha. Mbowe kachuja tu automatically! Hata akigombea mwanachama tofauti na Lisu bado atakubalika tofauti na Mbowe.
Kwani Mbowe hajifanyii self assessment?
Mbowe kachuja Kama viatu vya mchina mvua ikikunyeshea navyo vinayeyuka na kuchanika biashara inakuwa ze end