Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Samia ni Jembe - Mbowe

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Samia ni Jembe - Mbowe

Mwenyekiti wa saccos sio wa kumwamini kabisa. Ndumilakuwili hatari, hayo maneno ni baada ya kulamba asali.
 
Ukisifiwa na mtu low IQ kama huyo inabidi ujitazame mara mbili na kutafakari, he is trying so hard mpaka anatia huruma!
 
"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"

"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"

"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"

Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Kwa kweli hakuna Rais mwenye upendo kama mama Samia
 
Huo ni mtazamo wake baada ya kulambishwa asali...

Kwani alilambishwa asali? Hii ni baada ya kufutiwa kesi na baadaye siku ile ile akaitwa Ikulu kuelezwa mazingira yaliyomfanya Samia aifute kesi na hasa baada ya Shehe Mkuu kumwomba Samia aifute kesi, Sasa hana njia ni lazima aonyeshe goodwill gesture
 
"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"

"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"

"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"

Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Hata alipochotwa Mwanza alitoka kusema vitu kama hivi
 
"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"

"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"

"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"

Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Chai ya ikulu hiyo!! M4C kwishney!!
 
Anaachajr kuwa jembe wakati kawalambisha asali? Mbowe na genge lako lote akiwemo nduwi wa kigoma ni matapeli wa siasa hamna jipya. Vipande vya fedha vimewazima kama hampo vile. Mmebaki kusifia tu wakati Nchi inadidimia.
 
"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"

"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"

"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"

Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
MATAGA na SUKUMA GANG yatabisha tuu
 
Mama Saafi sana Mungu amlinde yupo vizuri
 
"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"

"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"

"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"

Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
hahahahaaaa asali tamu jamani hapo hakuna kamanda tena alikuwa anasema uchafuzi sasa huyo rais anayemuamini na serikali yake imetokana na uchaguzi upi? hela nyokoo kabisa
 
Asali asali asali
IMG_20220604_085036.jpg
 
Tatizo lingine la DJ ni elimu yake ndogo sana, hivyo anapelekwa tu sasa kama nyumbu.
 
Tatizo lingine la DJ ni elimu yake ndogo sana, hivyo anapelekwa tu sasa kama nyumbu.

Angekuwa na Elimu hawa tusingewafahamu leo
Zitto kabwe
John Mnyika
Halima Mdee
Patrobas Katambi
Mwita Waitara
Godbless Lema
Mayor Boniyai
Patrick olesosopi
Daniel
Easter Bulaya
Nusrat Hanje
Peter Msigwa
Marehemu Mawazo
Ali Bananga
Albert Msando
Marehemu Ben Saanane
Dogo janja Nassar
Silinde
Wakili Edwin

Dj amejenga sana Vijana ambao ni Lulu leo kwa Taifa asipuuzwe.
 
Back
Top Bottom