n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Mwenyekiti wa saccos sio wa kumwamini kabisa. Ndumilakuwili hatari, hayo maneno ni baada ya kulamba asali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishalamba asali huna namna nyingineView attachment 2250612
Siungi mkono hoja. Kwani nani anamnyonga Samia?Naumga mkono
Kwa kweli hakuna Rais mwenye upendo kama mama Samia"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Huo ni mtazamo wake baada ya kulambishwa asali...
Hata alipochotwa Mwanza alitoka kusema vitu kama hivi"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Chai ya ikulu hiyo!! M4C kwishney!!"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Mimi nashauri japo Jiwe kafa lakini achomwe motoUkishalamba asali huna namna nyingineView attachment 2250612
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kulambishwa Asali.
Sukuma gang sasa hivi hoja yao ni kulamba asali. Poleni sanaMwenyekiti wa saccos sio wa kumwamini kabisa. Ndumilakuwili hatari, hayo maneno ni baada ya kulamba asali.
MATAGA na SUKUMA GANG yatabisha tuu"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Siasa ni akili na sio mabavuUkishalamba asali huna namna nyingineView attachment 2250612
hahahahaaaa asali tamu jamani hapo hakuna kamanda tena alikuwa anasema uchafuzi sasa huyo rais anayemuamini na serikali yake imetokana na uchaguzi upi? hela nyokoo kabisa"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
Tatizo lingine la DJ ni elimu yake ndogo sana, hivyo anapelekwa tu sasa kama nyumbu.