myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 614
- 235
Tumesha jua kuwa upo US brother na huwa unaongea(small talk) na super stars kwenye stores.bila shaka umefurahi.Ila hatukupi hongera
Sihitaji hongera ya yeyote yule kwani hakuna la ajabu katika kufanya hivyo na Mmarekani yeyote yule, awe maarufu au si maarufu.
Tumesha jua kuwa upo US brother na huwa unaongea(small talk) na super stars kwenye stores.bila shaka umefurahi.Ila hatukupi hongera
achana nae!mbongo anayekaa US tunayemjua ni hasheem thabit peke yake!...huyu ana stress hajabahatika kupiga picha na diamond
Sijajua alikuwa akiongea nao kwa kutumia lugha gani manake sisi watz tulishasema "kiswahili ndo lugha inayowaunganisha Watz" bila kujua kuwa pamoja na kuwa it is the language that unites us, at the same-time, the language that excludes foreiners!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
By the way when was the last time u networked with Nelly? And in which store? Haahahaaaaa
kwani nelly hakui kizaramo
Sijajua alikuwa akiongea nao kwa kutumia lugha gani manake sisi watz tulishasema "kiswahili ndo lugha inayowaunganisha Watz" bila kujua kuwa pamoja na kuwa it is the language that unites us, at the same-time, the language that excludes foreiners!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
H.O.D unajua kupiga picha m2 wangu naskia na wewe umekuwepo
achana nae!mbongo anayekaa US tunayemjua ni hasheem thabit peke yake!...huyu ana stress hajabahatika kupiga picha na diamond