Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Teh hakawii uyo kusema kaombwa collabo angepiga na huyu nae angesema wanampango wakurekodi muvi au... lol
Jd nae ana sura ngumu kama wale bush man
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh hakawii uyo kusema kaombwa collabo angepiga na huyu nae angesema wanampango wakurekodi muvi au... lol
Binamu na wewe ,sasa anakusikia jaman
Jd nae ana sura ngumu kama wale bush man
Wakaanga sumu wamesha fanya yao dah.... haters will become believers tu... this is bad
Hahaaaa we dina wewe me simo
Teh teh si unajua ile kitu ya kutotegemea maishani mwake lol
Hakuna sehemu nilipoponda chochote.
Kuishi US siyo nongwa na ku make small talk na Nelly si nongwa vile vile.
Acha sie tucheke ila alifaidipo kuwaona mastaa hivi kim na Kanye hawakuwepo nilomuona amber tu alifaid wajamenii wengine tutabakia kuwaona kwenye video na magazeti
Tuanze basi kuimba na sie labda tutaenda hata south tukasalimiane na mafikizolo hapo domo sasa hiv anachart watsapp na Nelly
et ametumia kidhungu tumsifie unalo babuuu hapa ndo bongo kama imekuuma mond kumsalimia Nelly kantangaze kwa jay z si jiran yako eeeh ha ha ha pyeeeeeI don't need to because I'm not in the showbiz industry. And Nelly is a washed-up has-been, anyway.
But I get it why you folks think it's such a biggie.
Hahaaaaa umeona picha hapo anajitambulisha kwa nelly
Alijichekea kuhojiwa na Shemeji kwa Chris Brown lol
jaman wabongo wako kama wachawi c msifie tu kwan mnalipia loooh mh mond uko juuuuuuuuu wenye wivu watasanda kwa sana tu
Sijui kwa nn watz mnamwona Diamond hajui kingereza ,wakati mastaa wote huongea nao kwa lugha hiyo hiyo tena vizuri tu..angalia clip akihojiwa na demu wa chriss brown karrueche kwenye red carpet ndio ujue alkua anaongea kabila gani
itakua madame ameshamfua mpaka ameiva!" .........Sijajua alikuwa akiongea nao kwa kutumia lugha gani manake sisi watz tulishasema "kiswahili ndo lugha inayowaunganisha Watz" bila kujua kuwa pamoja na kuwa it is the language that unites us, at the same-time, the language that excludes foreiners!!!