Mnyonge mnyongeni Mbowe ana Talanta ya "leadership". Si kila Kiongozi anaongoza, wengine ni wasimamizi na wengine watawala

Mnyonge mnyongeni Mbowe ana Talanta ya "leadership". Si kila Kiongozi anaongoza, wengine ni wasimamizi na wengine watawala

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Uongozi ni Karama, Uongozi ni Taranta, Uongozi ni Zawadi Kutoka kwa Mungu wa mbinguni

Ipo tofauti kubwa Kati ya Leader, Manager na Administrator

Freeman Mbowe is a leader

Kiongozi wa Upinzani kuaminiwa na Viongozi wa Dini na wakatumia Jukwaa lako kuikosoa na kuishauri Serikali siyo jambo dogo, kunahitaji Hekima ya Mungu

Niishie hapo

Mungu wa mbinguni awabariki!
 
Kwa kweli mbowe angepata nafasi ya kulitumikia taifa kwa wadhifa wowote angeacha alama kubwa sana .
 
Uongozi ni Karama, Uongozi ni Taranta, Uongozi ni Zawadi Kutoka kwa Mungu wa mbinguni

Ipo tofauti kubwa Kati ya Leader, Manager na Administrator

Freeman Mbowe is a leader

Kiongozi wa Upinzani kuaminiwa na Viongozi wa Dini na wakatumia Jukwaa lako kuikosoa na kuishauri Serikali siyo jambo dogo, kunahitaji Hekima ya Mungu

Niishie hapo

Mungu wa mbinguni awabariki!
Jo ubarikiwe wajukuu wengi maradufu ya ulionao hivi leo,upo wakati unanena maneno ya baraka kwa taifa letu na watu wake.
 
Uongozi ni Karama, Uongozi ni Taranta, Uongozi ni Zawadi Kutoka kwa Mungu wa mbinguni

Ipo tofauti kubwa Kati ya Leader, Manager na Administrator

Freeman Mbowe is a leader

Kiongozi wa Upinzani kuaminiwa na Viongozi wa Dini na wakatumia Jukwaa lako kuikosoa na kuishauri Serikali siyo jambo dogo, kunahitaji Hekima ya Mungu

Niishie hapo

Mungu wa mbinguni awabariki!
Naanza kuona hakuna nchin inayo"abuse" neno Mungu kama Tanzania. Mtu akifa ati Mungu, Mtu akiwa Rais kapewa na Mungu, siku hizi hata research hazifanywi eti kapanga Mungu, --------------- Hii nchi inakuwaje?
 
Mbowe ni mbaguzi wa kikanda, kikabila, kidini, ameenda mbali zaidi kuwabagua wazanzibas, na bado hatujasahau alichowafanya chacha wangwe(r.i.p) na zito kabwe. angekuwa china angeshanyongwa siku nyingi sana
 
Mbowe ni mbaguzi wa kikanda, kikabila, kidini, ameenda mbali zaidi kuwabagua wazanzibas, na bado hatujasahau alichowafanya chacha wangwe(r.i.p) na zito kabwe. angekuwa china angeshanyongwa siku nyingi sana
Mbowe alimla mama yako?
 
Is he a visionary leader? If the answer is yes, he could surrender the leadership to the philosopher "Silaa". That man is a leader with vision.
 
Kusema kweli Huyu mtu Mbowe namkubali sana.
ccm sijui kwanini imekosa watu wenye talanta kama huyu!
 
masikitiko yangu makubwa ni mpaka sasa sijaona comment ya reporter mtiifu wa chadema bwana Erythrocyte
 
Uongozi ni Karama, Uongozi ni Taranta, Uongozi ni Zawadi Kutoka kwa Mungu wa mbinguni

Ipo tofauti kubwa Kati ya Leader, Manager na Administrator

Freeman Mbowe is a leader

Kiongozi wa Upinzani kuaminiwa na Viongozi wa Dini na wakatumia Jukwaa lako kuikosoa na kuishauri Serikali siyo jambo dogo, kunahitaji Hekima ya Mungu

Niishie hapo

Mungu wa mbinguni awabariki!
Nakubaliana naww ingawa kimachalechale!!
 
Is he a visionary leader? If the answer is yes, he could surrender the leadership to the philosopher "Silaa". That man is a leader with vision.
How? Jus'for gettin' some paper shit from shujaa and then join the chain? Leader with vision should stand for wat he's believing from day one, when he was at chadema!!!👇👇 while he was supporting shujaa.
 

Attachments

  • Screenshot_20210420-100928.png
    Screenshot_20210420-100928.png
    136.2 KB · Views: 4
Back
Top Bottom