dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
NYOKA NA MADEMU DAM DAMU
MINYOO NA MADEMU DAM DAMU
MINYOO NA MADEMU DAM DAMU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitimotroomnyoo wa kupiga mizinga huyo
Ndugu minyoo mingi hupitia njia ya damu ,na kama unavyojua mwili wetu umeundwa na mishipa mingi ya damu sasa pale unapokuwa upo kwenye mshipa wa damu inapelekea kwenye ubongo basi inaweza ikawa sio mnyoo kama mnyoo inaweza ikawa ni mayai yake husafiri Hadi kwenye ubongo ....huku ndipo huenda kukaa nakula kama vile vile seli za ubongo zinavyokula kupitia different supportive cells (astrocytes)Mnyoo unaingilia wapi mpaka kufika ubongoni na unakula nini?
Mm sifugi nguruwe na sijui tabia zao.Acha kudanganyika nguruwe haingii hedhi hizo ni stori za wafia dini wapumbafu wanao penda kupotosha kwa manufaa yao,katika wanyama wote duniani kiumbe mwenye menstrual cycle ya kuvuja damu ni binadamu pekee,wanyama wote waliobaki wana kitu kinaitwa eostrous cycle ,baada yai kutokurutibishwa huwa linakuwa dissolved mwilini wala hakuna damu ya period kama mwanadamu.
Jielimishe,kataa wahuni.
Hii midude inakula mpaka watu.