Acha kudanganyika nguruwe haingii hedhi hizo ni stori za wafia dini wapumbafu wanao penda kupotosha kwa manufaa yao,katika wanyama wote duniani kiumbe mwenye menstrual cycle ya kuvuja damu ni binadamu pekee,wanyama wote waliobaki wana kitu kinaitwa eostrous cycle ,baada yai kutokurutibishwa huwa linakuwa dissolved mwilini wala hakuna damu ya period kama mwanadamu.
Jielimishe,kataa wahuni.