Mnyukano wa wanasiasa kikwazo Kikuu cha Katiba Mpya

Mnyukano wa wanasiasa kikwazo Kikuu cha Katiba Mpya

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kikwazo kikuu cha kupatikana kwa katiba mpya hapa nchini Tanzania ni mnyukano wa wanasiasa. Wapinzani wanaitaka katiba mpya kama chombo cha kuwasaidia kuitoa ccm madarakani. Ikiwa mantiki iko hivyo hata wewe ungekua CCM usingekubali.

Kwa upande wa ccm wanaona hii katiba inawasaidia kuitawala nchi bila shida wala tatizo, zaidi ya Hilo wanaona kitisho cha kuruhusu katiba mpya ni kupoteza hiyo fursa.

Kwa upande wa wananchi wengi wao hawana uelewa wowote kuhusu mambo ya katiba hivyo, wanategemea kulishwa na wanasiasa.

Kwa mantiki hiyo huu msuguano utaendelea hadi atokee mtu wa pembeni atie shinikizo ili ccm ikubali kama ilivyokubali mfumo wa vyama vingi.
 
'
20210701_122419.jpg
 
Watanzania wanauelewa mkubwa na uhitaji mkubwa wa katiba mpya kuliko ccm na wanasiasa wa vyama vingine.

CCM hawana uhitaji na katiba siyo kwa sababu ya sasa inawasaidia kutawala hapana ni kwa sababu ya sasa inawalinda kufanya uhalifu dhidi ya wananchi.

Vyama vya upinzani ni sauti ya watanzania waliokimya wanaotaka katiba mpya
 
Kwa mantiki hiyo huu msuguano utaendelea hadi atokee mtu wa pembeni atie shinikizo ili ccm ikubali kama ilivyokubali mfumo wa vyama vingi.
Watanzania wengi wana akili fupi kama wewe.CCM ni nani hadi unampa jukumu la maamuzi ya katiba mpya?Unaelewa kuwa suala la katiba siyo suala la CCM wala chadema wala Rais?

Unaelewa kuwa suala la katiba ni suala la wananchi kwa sababu katiba inagusa masuala ya msingi kabisa ya watu kama vile suala la haki ya kuishi?Yaani unataka kuwapa CCM haki ya kuamua juu ya masuala ya uhai wa Watanzania?!WTF!!!

Miaka zaidi ya 50 ya uhuru Tanzania imeshindwa kutatua changamoto ndogo kabisa kama vile changamoto ya maji kwa sababu ya akili fupi kama hizi.
 
Watanzania wengi wana akili fupi kama wewe.CCM ni nani hadi unampa jukumu la maamuzi ya katiba mpya?Unaelewa kuwa suala la katiba siyo suala la CCM wala chadema wala Rais?

Unaelewa kuwa suala la katiba ni suala la wananchi kwa sababu katiba inagusa masuala ya msingi kabisa ya watu kama vile suala la haki ya kuishi?Yaani unataka kuwapa CCM haki ya kuamua juu ya masuala ya uhai wa Watanzania?!WTF!!!

Miaka zaidi ya 50 ya uhuru Tanzania imeshindwa kutatua changamoto ndogo kabisa kama vile changamoto ya maji kwa sababu ya akili fupi kama hizi.
Ukipunguza jazba UNAWEZA ukawa na hoja
 
Watanzania wanauelewa mkubwa na uhitaji mkubwa wa katiba mpya kuliko ccm na wanasiasa wa vyama vingine.

CCM hawana uhitaji na katiba siyo kwa sababu ya sasa inawasaidia kutawala hapana ni kwa sababu ya sasa inawalinda kufanya uhalifu dhidi ya wananchi.

Vyama vya upinzani ni sauti ya watanzania waliokimya wanaotaka katiba mpya
Alafu kudai kwamba watanzania wanawakilishwa na wanasiasa wa upinzani ni kujidanganya kwani wapinzani wa sasa wamepoteana sana.
 
Alafu kudai kwamba watanzania wanawakilishwa na wanasiasa wa upinzani ni kujidanganya kwani wapinzani wa sasa wamepoteana sana.
Wangekuwa wamepoteana mngetumia, mawe, mapanga, mabomu, bunduki, DEDs na kununua Covid19 kwenye uchaguzi ?

Siasa hazifanyiki kwenye vacuum acheni mikutano ya hadhara mpime upepo.

Wapinzani wangekuwa wamepoteana ccm wala wasingesumbuka nao kwa lolote, unaona ccm wakisumbuka dhidi ya CUF ua NCCR mageuzi na TLP ?
 
Kikwazo kikuu cha kupatikana kwa katiba mpya hapa nchini Tanzania ni mnyukano wa wanasiasa. Wapinzani wanaitaka katiba mpya kama chombo cha kuwasaidia kuitoa ccm madarakani. Ikiwa mantiki iko hivyo hata wewe ungekua CCM usingekubali.

Kwa upande wa ccm wanaona hii katiba inawasaidia kuitawala nchi bila shida wala tatizo, zaidi ya Hilo wanaona kitisho cha kuruhusu katiba mpya ni kupoteza hiyo fursa.

Kwa upande wa wananchi wengi wao hawana uelewa wowote kuhusu mambo ya katiba hivyo, wanategemea kulishwa na wanasiasa.

Kwa mantiki hiyo huu msuguano utaendelea hadi atokee mtu wa pembeni atie shinikizo ili ccm ikubali kama ilivyokubali mfumo wa vyama vingi.
Katiba hii inayozodolewa na chadema ndiyo iliyoivusha nchi kipindi Cha mpito.Hakuma umuhimu kwa sasa kubadili katiba.Wasiotaka wajiresitishe in piece
 
Kikwazo kikuu cha kupatikana kwa katiba mpya hapa nchini Tanzania ni mnyukano wa wanasiasa. Wapinzani wanaitaka katiba mpya kama chombo cha kuwasaidia kuitoa ccm madarakani. Ikiwa mantiki iko hivyo hata wewe ungekua CCM usingekubali.

Kwa upande wa ccm wanaona hii katiba inawasaidia kuitawala nchi bila shida wala tatizo, zaidi ya Hilo wanaona kitisho cha kuruhusu katiba mpya ni kupoteza hiyo fursa.

Kwa upande wa wananchi wengi wao hawana uelewa wowote kuhusu mambo ya katiba hivyo, wanategemea kulishwa na wanasiasa.

Kwa mantiki hiyo huu msuguano utaendelea hadi atokee mtu wa pembeni atie shinikizo ili ccm ikubali kama ilivyokubali mfumo wa vyama vingi.
Upo sahihi kabisa
 
Wangekuwa wamepoteana mngetumia, mawe, mapanga, mabomu, bunduki, DEDs na kununua Covid19 kwenye uchaguzi ?

Siasa hazifanyiki kwenye vacuum acheni mikutano ya hadhara mpime upepo.

Wapinzani wangekuwa wamepoteana ccm wala wasingesumbuka nao kwa lolote, unaona ccm wakisumbuka dhidi ya CUF ua NCCR mageuzi na TLP ?
Ongeza ACT na UDP
 
Wangekuwa wamepoteana mngetumia, mawe, mapanga, mabomu, bunduki, DEDs na kununua Covid19 kwenye uchaguzi ?

Siasa hazifanyiki kwenye vacuum acheni mikutano ya hadhara mpime upepo.

Wapinzani wangekuwa wamepoteana ccm wala wasingesumbuka nao kwa lolote, unaona ccm wakisumbuka dhidi ya CUF ua NCCR mageuzi na TLP ?
Upinzani ulipewa airtime ya kutosha siku za Kikwete ila wakaitumia vibaya sasa waje na mtindo mwingine wa kufanya siasa.
 
Back
Top Bottom