johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naona zamu hii wazalendo kutoka pande na fani tofauti tofauti wanapita katika misukosuko ya hapa na pale.
Baada ya jana mzee Makamba na Kinana kumburuza mwanaharakati huru Cyprian Musiba mbele ya Baraza la wazee wa CCM, leo club ya Simba ikiongozwa na tajiri MO imemburuza mzalendo anayelinda jengo la HQ la Simba lisiwekwe rehani......mbele ya kamati ya maadili ya TFF.
Go Kilomoni go.....wewe ni mzalendo usiyetishwa!
Baada ya jana mzee Makamba na Kinana kumburuza mwanaharakati huru Cyprian Musiba mbele ya Baraza la wazee wa CCM, leo club ya Simba ikiongozwa na tajiri MO imemburuza mzalendo anayelinda jengo la HQ la Simba lisiwekwe rehani......mbele ya kamati ya maadili ya TFF.
Go Kilomoni go.....wewe ni mzalendo usiyetishwa!