Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Swali la kitotoKwani unadhani mlikuwa mwapata wapi pesa za kuendesha timu?
Upande wa wanachama wakamilishe za kwao zipi!? Yaani wewe uombe sehemu ya kiwanja changu kwaajili ya mradi tutaoshirikiana mimi nikitoa kiwanja wewe ukaweka hela si ndo tunakuwa tumeshare? Wanachama wametoa hisa zao 49% ambazo Mo kazinunua kwa 2oB sasa ulitaka wanachama watoe nini kingine!?Anawekaje 20B za 49% wakati upande wa wanachama ambao ni major shareholders hawajakamilisha za kwao? Aweke 20B wazitafune?
hivi akiweka hiyo 49 wao mashabiki wataweka 21B au ndo wao wanaweka timuu 😀 😀 😀 😀Anawekaje 20B za 49% wakati upande wa wanachama ambao ni major shareholders hawajakamilisha za kwao? Aweke 20B wazitafune?
Wewe ni shabiki wa Simba? Akiondoka MO, babaako ana uwezo wa kuidhamini Simba?These is to much! kwa mwekezaji wa Aina hi kila wakat kuwatisha watu as if kwamba bila yeye Simba haitofika mbali ,huu Ni ujinga na upumbafu kuendelea kumbembeleza moo na kumuona mungu mtu ,kila kukicha anatoa maneno yenye utata na yanaweza kuadhiri mipango na maendeleo ya club .
Simba sc waigeni yanga jinsi inavyo endeshwa timu Ina wadhamini wa maana sport pesa tu yenyewe na heir inaipa yanga pesa ndefu Bado za Azam, GSM mbona yanga wanasonga bila maneno kutoka kwa mdhamini wake mkuu.
Moo aondeshwe simba sc Mara moja Ni waekezaji wengi wanaitaka hii club Ni ujinga kuendelea kumbembeleza Mo.
Mara nimechoka Mara neema inakuja Mara napata hasara Mara ningenunua ndege yangu binafs Kama hapati kitu s aachie wengine waje.
Nawaza tu Hawa wafanyakazi walio ajiriwa katk kampuni na viwanda vyake Hapa Hali zao za uchumi iko vipi?
Kam tajiri mwenywe ndio huu.
Alishasema mpaka msimu huu ulioisha amewekeza B 85[emoji3]wamlipe pesa zipi ?
Hazipo kwenye A/C ya koloz. Zimeingia kwenye akaunt yakeWENYE AKILI tulimkataa KITAMBO. Zz
Hata BILIONI 20 Hadi Leo hajatoa.
Huu usajili ni BILIONI 5 ZA SUPER CUP.
BILIONI 2 CAFCL.
MBET.
SANDALAND NK....
SIMBA INA ALMOST 10 BILION
ASITUSUMBUE HUYO MTU.
Huu sio mfano halisi kwenye hii issue. Mo ana mapungufu yake ila kuna sehemu yuko sahihi. Hakuna Muwekezaji anayeweka pesa yake sehemu isiyo na mfumo mzuri. Hivi mpaka sasa mnajua thamani ya Simba ni kiasi gani? Na unaposema asilimia 51% ya shares ziko mikononi mwa wanachama unazungumzia wanachama wepi? Je mnawajua kwa majina na namba zao za usajili? Na wanachangia kiasi gani kwa mwaka kuiwezesha timu?Upande wa wanachama wakamilishe za kwao zipi!? Yaani wewe uombe sehemu ya kiwanja changu kwaajili ya mradi tutaoshirikiana mimi nikitoa kiwanja wewe ukaweka hela si ndo tunakuwa tumeshare? Wanachama wametoa hisa zao 49% ambazo Mo kazinunua kwa 2oB sasa ulitaka wanachama watoe nini kingine!?
HV akili zako zimefungwa kwamb bila mo haitafika mafanikio yoyoteWanasimba Wanapumbazwa na wale wanompinga Mo nao Wanajaa
Hayo hayo yaliyokea kwa Yanga kipindi Cha Manji kilicho fuata kila mtu ni Shahidi.
Simba Zinategemea mapato yake katika sehemu Tano.
1. Viingilio vya Mechi
2. Mauzo ya Haki miliki kwa Azam
3. Mauzo Ya Jezi.
4. Udhamini wa Hizi Kampuni ndogo ndogo
5. Mashabiki
Ukijumlisha hivi vyote mapato yake hayatoshi hata kulipa mishahara wachezaji Kwa mwaka mzima.
Simba Ikisafiri kwenda Mkoa itatumia average millioni 100-120 , There is NO WAY MASHABIKI WA SIMBA MWENYE AKILI TIMAMU AKASEMA HAMUHITAJI “MO”
Hawa akina Chama hutawasikia, Akina Akram Onana na Wengine tutawasikia kwenye Bomba.
Swali la Msingi simba Wajiulize Muwekezaji yuko tayari kwanini mchakato haukamiliki? Nani Yupo Nyuma ya Hili.
Akiondoka Mo, Tajiri Gani atafanya kama yeye kwa Marajiri tulio nao Tanzania?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Rik banahivi akiweka hiyo 49 wao mashabiki wataweka 21B au ndo wao wanaweka timuu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Siyo Bab angu Wala mam angu ataweza kudhaminiWewe ni shabiki wa Simba? Akiondoka MO, babaako ana uwezo wa kuidhamini Simba?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wazee mataepelii sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Rik bana
Ahahahahaha! Wenzako wengi na mawazo kama hayo, na inaonesha man upeo mdogo wa uwekezaji na uendeshaji wa taasisi!Siyo Bab angu Wala mam angu ataweza kudhamini
Wako wafuatao watao weza kudhamini Simba
1 Azam media haki za matangazo wanaipa Simba 3 billion
2Mauzo ya jesi 2 bilion
3 Viingilion tu 3 billion msimu mzima
4 spot pesa 2 billion
5 caf cl group stage 4 billion
HV hyo timu imeshindwa VIP kujiendesha yanga peasa anazo toa gsm Ni kiduchu ila wadhamin wenza wanatoa peaa za maaana tu na timu inazongaa snaa