MO amenunua gari inayoaminika kuwa na mfumo mkubwa wa ulinzi wa kidigitali

Ingekua linakwepa mabom hapo sw
Ingekua haiwez kuguswa, kuharbiwa mifumo ya kamera na hata kufunguliwa au kupasuliwa milango bila ridhaa ya mmiliki

....ayo yote yangewezekana nami ningeitafuta hii kampuni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

babawawili
 
Ah haata anunue ndege awe anasafiri juu na chini, watekaji watamsubiria hata akiwa ameingia toilet anatekwa na camera hazioneshi hata km alikwepo..kuteka mtu ni hesabu nyingi sio utaenda tu umwombe kumteka
 
Afunge mziki mzito alafu apite mitaani vioo chini ikisikika ile ngoma ya Mr Nice "kikulacho kiko kinguoni mwako"
 
Gari ya namna hiyo ni kujiongezea stress tu, kwa maelezo yako - ukilinganisha na barabara za hapa bongo litakuwa linaziama kila sehemu madimbwi. Tatu wasiojulikana wanajua jinsi ya kufanya hadi wampate bila hizo camera kujua. Anaweza akawa kwenye busness meeting wakamuingilia na kumkamata. Cha msingi awe makini tu.
 
Kwa huuu unyani wetu tusahau kitu inaitwa maendeleo.(unyani nimekopa kwa marehemu mtikila r.I.p).
 
Uandishi full roho mbaya!
 
Hivi karibuni nitaingiza mtambo wangu Audi A8. Hio Tesla ya Mo ni cha mtoto. Wana jf mniombee nikubaliwe kuiingiza nchini na kuisajili salama.
Acha kiburi uombewe
 
Dogo ametumisi ngoja tumvizie siku simba inacheza
 
Usicheze na difenda la watu wasiojulikana wewe, tesla itapiga vipicha lkn wadau watamnyofoa tu kama watamtaka
 
Wahuni wanateka ndege sembuse hiyo gari??? Tena safari hii wakimfuata kama ndiyo kanunua hiyo gari kuwatisha wataondoka nae na hiyo gari last time walimwachia ile Range now wakija watasepa na hiyo Musk
 
Watu wasiojulikana hawafanywi lolote,rejea tukio la kutekwa na kuumizwa vibaya aliyekuwa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka,Aliyemteka Dr ulimboka anajulikana na Kubenea aliweka wazi mawasiliano ya mtekaji hadi dakika za mwisho na Dr ulimboka alimtambua na alimtaja ni nani lakini hajafanywa kitu,kwahiyo hiyo Tesla M3 hata ikirecord hadi sura za wasiojulikana hawatafanywa kitu chochote!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…