Mo ana hisa 49% Simba, Je GSM wana ngapi?

Naomba kujua wakuu,Simba wamebainisha Mo ana 49% Simba ,GSM ana ngapi Yanga au anasaidia tu kama alivyosema mwaka juzi kuchukua hisa ni unyonyaji.
GSM anasaidia kama alivyokuwa anawasaidia Mo, Zoezi la transformation likikamilika Kama atataka kununua hisa atakaribishwa, kumbuka yanga inahitaji wawekezaji zaidi ya mmoja na wasiopungua 4, hicho kitu kiweke kichwani mwako, hivyo ni tofauti na kwenu mnakomuabudu mtu mmoja ndo maana anawapanda kichwani inategemea ameamkaje siku hiyo
 
GSM ni mfadhili wa yanga.
MO ni sehemu ya mmiliki wa simba 49%.
 
Naomba kujua wakuu, Simba wamebainisha Mo ana 49% Simba, GSM ana ngapi Yanga au anasaidia tu kama alivyosema mwaka juzi, kuchukua hisa ni unyonyaji.
Sikiliza ndugu,kwa sasa yanga ndio wanajenga prospectus yaani kabrasha la thamani ya hisa,ukiwa tayari ndipo hisa zitatangazwa ambapo wawekezaji watatu wataweza kununua husa 49 na wanachama watakuwa na hisa 51 sasa wakati huo ndio uulize kwa sasa bado mfumo unajengwa
 
Sikatai ila kuna namna anaisaidia timu kwenye sehemu mbalimbali, tunakoelekea huko akija kufadhili klabu na kupata hisa 49% NANI atakataa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwaa unajuaga unachozungumza lakini??
 
Ungemalizia mwekezaji kaweka bil 20, huku mdhamini akiidhamini timu kwa bil 26.1 kwa misimu mitano.

Ngoja tukae kimya ila kama kawaida inaitwa kikwetu kwetu.
GSM ana hisa % ngapi, toa jibu, mbna unaruka ruka km popcorn jikoni????

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
GSM ana hisa % ngapi, toa jibu, mbna unaruka ruka km popcorn jikoni????

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana hisa ,ila duniani umeona wapi mdhamini kamzidi dau mwekezaji ?

Ila si shangai manake nyie mnadai wenyewe kila kitu nyie ndio wa kwanza...........
 
Hana hisa ,ila duniani umeona wapi mdhamini kamzidi dau mwekezaji ?

Ila si shangai manake nyie mnadai wenyewe kila kitu nyie ndio wa kwanza...........
Kabisaaaah, tena utulie na uache kulia lia. Sisi ndo tunaoanza. Wengine watafuatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…