Je, kuna umuhimu wa kuuliza mashabiki wapige kura iwapo Simba inahitaji kocha tena kwenye mtandao?
Je, ana uhakika gani waliopiga kura ni wana Simba?Unadhani leo akatokea mjinga mmoja pale utopolo tuseme rais wa timu atangaze kura kuuliza iwapo yanga inahitaji kocha mpya unadhani asilimia ngapi ya mashabiki wa yanga watapiga kukubali ama kukataa?Je huoni watakaopiga kura ya kumkataa ni mashabiki wa Simba? Na unaweza kushangaa kuwa asilimia zaidi ya 60% wakamkataa Nabi lakini wote hao wakawa mashabiki wa Simba?
Mimi nilivyoona sikupiga kura kwani ni upuuzi na siwezi kufanya hivyo kwa kuwa najua tatizo la Simba sio kocha bali ni wachezaji.
Timu inahitaji wachezaji wakubwa na huo ni ukweli ulio wazi,lakini wewe unajaribu kukwepa kusajili badala yake unataka kutuletea makocha wako wapumbavu wa kizungu waanze upya na timu jambo ambalo ndilo hatari sana kwa sasa.
Kama kuna shabiki wa Simba anadhani tatizo tulilo nalo Simba ni mwalimu,na anadhani akileta mwalimu mzungu basi Kibu atakuwa Mbape basi nitaamini magonjwa ya akili sasa yamefikia kiwango cha juu mno hapa nchini.
Mo kama timu imemshinda awaachie wengine aache janja ya nyani kula hindi bichi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Je, ana uhakika gani waliopiga kura ni wana Simba?Unadhani leo akatokea mjinga mmoja pale utopolo tuseme rais wa timu atangaze kura kuuliza iwapo yanga inahitaji kocha mpya unadhani asilimia ngapi ya mashabiki wa yanga watapiga kukubali ama kukataa?Je huoni watakaopiga kura ya kumkataa ni mashabiki wa Simba? Na unaweza kushangaa kuwa asilimia zaidi ya 60% wakamkataa Nabi lakini wote hao wakawa mashabiki wa Simba?
Mimi nilivyoona sikupiga kura kwani ni upuuzi na siwezi kufanya hivyo kwa kuwa najua tatizo la Simba sio kocha bali ni wachezaji.
Timu inahitaji wachezaji wakubwa na huo ni ukweli ulio wazi,lakini wewe unajaribu kukwepa kusajili badala yake unataka kutuletea makocha wako wapumbavu wa kizungu waanze upya na timu jambo ambalo ndilo hatari sana kwa sasa.
Kama kuna shabiki wa Simba anadhani tatizo tulilo nalo Simba ni mwalimu,na anadhani akileta mwalimu mzungu basi Kibu atakuwa Mbape basi nitaamini magonjwa ya akili sasa yamefikia kiwango cha juu mno hapa nchini.
Mo kama timu imemshinda awaachie wengine aache janja ya nyani kula hindi bichi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app