Mo anacheza na akili za wajinga wasiojitambua?

Tukiita wenye marinda wewe utatoka? Wewe demu bwege wewe
Watu wa Dar mmeharibiwa sana na ndiyo maana hata akili zenu haziwezi kuruka juu kuzidi makalio.
Ufanywacho wewe kwa uchawa wako usidhani watu wenye akili timamu wako hivyo.
Hiyo hata kuiongelea tu ni aibu ila kwako kwa vile umezoea huoni shida kujiaibisha hapa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Tuliza kalio wewe mbwiga hakuna chawa wa mtu hapa umelisikia hilo neno la chawa kwa mara ya kwanza basi unalitumia tu ovyo hata pasipo husika mshamba mmoja wewe.
 

Sent from my Infinix X626 using
 
Nitapiga kura Mgunda wetu abaki ila anunuliwe Jeans nyeusi
 
Kwenye Umbumbumbu wenu wakutapeliwa na Mwamedi usiwahusishe watu wote wa Dar tafadhali.
 
Kama hujui Leo nakuomba ujue ivi njaa yako Ni fursa kwa mtu kumeki a living,furaha na Raha yako Ni fursa, hasira,tamaa,ujinga,uvivu wa binadamuni fursa za watu kumeki mane, ugonjwa ama afya yako Ni fursa kwa watu kumeki mane.

Tamaa ,hofu,Imani zako zote hizo Ni fursa za watu wajanja walioko juu ya akili ya kawaida kumeki mane.

Basi nadhani utakuwa umeelewa
 
Itakuwa mama yako alikubana na mapaja wakati anajifungua siyo bure. Kuna sehemu nimesema nina degree.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…