SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tukiita wenye marinda wewe utatoka? Wewe demu bwege weweTukiita wenye akili wewe utaitika?
Watu wa Dar mna matatizo mengi,haiwezekani kila mwanaume anakuwa chawa,bull shit
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ukishakuwa kiongozi mkubwa kuna haki fulani unapoteza.Sio kila kitu unaweza kuongea ama kufanyaMgunda ni kocha wa muda na hata yeye Mgunda analijua hilo. Suala la Mo kuendesha kura ya maoni ni haki yake hata wewe unaweza anzisha uzi hapa JF.
Watu wa Dar mmeharibiwa sana na ndiyo maana hata akili zenu haziwezi kuruka juu kuzidi makalio.Tukiita wenye marinda wewe utatoka? Wewe demu bwege wewe
Tuliza kalio wewe mbwiga hakuna chawa wa mtu hapa umelisikia hilo neno la chawa kwa mara ya kwanza basi unalitumia tu ovyo hata pasipo husika mshamba mmoja wewe.Watu wa Dar mmeharibiwa sana na ndiyo maana hata akili zenu haziwezi kuruka juu kuzidi makalio.
Ufanywacho wewe kwa uchawa wako usidhani watu wenye akili timamu wako hivyo.
Hiyo hata kuiongelea tu ni aibu ila kwako kwa vile umezoea huoni shida kujiaibisha hapa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Toa pesa za usajili kakaMo ache janja janja asajili wachezaji wazuri kwenye ili dirisha dogo
Je, kuna umuhimu wa kuuliza mashabiki wapige kura iwapo Simba inahitaji kocha tena kwenye mtandao?
Je, ana uhakika gani waliopiga kura ni wana Simba?Unadhani leo akatokea mjinga mmoja pale utopolo tuseme rais wa timu atangaze kura kuuliza iwapo yanga inahitaji kocha mpya unadhani asilimia ngapi ya mashabiki wa yanga watapiga kukubali ama kukataa?Je huoni watakaopiga kura ya kumkataa ni mashabiki wa Simba? Na unaweza kushangaa kuwa asilimia zaidi ya 60% wakamkataa Nabi lakini wote hao wakawa mashabiki wa Simba?
Mimi nilivyoona sikupiga kura kwani ni upuuzi na siwezi kufanya hivyo kwa kuwa najua tatizo la Simba sio kocha bali ni wachezaji.
Timu inahitaji wachezaji wakubwa na huo ni ukweli ulio wazi,lakini wewe unajaribu kukwepa kusajili badala yake unataka kutuletea makocha wako wapumbavu wa kizungu waanze upya na timu jambo ambalo ndilo hatari sana kwa sasa.
Kama kuna shabiki wa Simba anadhani tatizo tulilo nalo Simba ni mwalimu,na anadhani akileta mwalimu mzungu basi Kibu atakuwa Mbape basi nitaamini magonjwa ya akili sasa yamefikia kiwango cha juu mno hapa nchini.
Mo kama timu imemshinda awaachie wengine aache janja ya nyani kula hindi bichi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hahahhahah mbumbumbu mnacharuanaTukiita wenye marinda wewe utatoka? Wewe demu bwege wewe
Kwenye Umbumbumbu wenu wakutapeliwa na Mwamedi usiwahusishe watu wote wa Dar tafadhali.Watu wa Dar mmeharibiwa sana na ndiyo maana hata akili zenu haziwezi kuruka juu kuzidi makalio.
Ufanywacho wewe kwa uchawa wako usidhani watu wenye akili timamu wako hivyo.
Hiyo hata kuiongelea tu ni aibu ila kwako kwa vile umezoea huoni shida kujiaibisha hapa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kangamoko unasemaje ?Hahahhahah mbumbumbu mnacharuana
mbona itashuka darajaMgunda namuelewa sana abaki kama kocha apewe mkataba miaka 9
Itakuwa mama yako alikubana na mapaja wakati anajifungua siyo bure. Kuna sehemu nimesema nina degree.?Mbinu gani na unauliza watu wa yanga wakuamulie nini cha kufanya?
Unatumia kigezo gani kujua aliyepiga kura ni mwanasimba?
Ninyi ndio wasomi mliojaa kamasi kichwani kwa sababu ya kukariri na kupata degree za chupi kisha mnakuja hapa na kujiona mnajua sana
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Jifunze fikra tunduizi achana na madesa ya kujibia paperItakuwa mama yako alikubana na mapaja wakati anajifungua siyo bure. Kuna sehemu nimesema nina degree.?