Mo anahonga waamuzi

Mo anahonga waamuzi

Kiukweli Mimi ni Yanga damu ila kwa matokeo na mchezo wa Leo nimefurahi sanaa. Nimepata nguvu ya kuwakomesha mikia na kuwakumbusha kwamba Upepo wao umekata jahaz lao linametoboka bila msaada wa refa linazama.Sijawai kuona Simba inashinda kisha mashabiki wake wakawa wanyonge kama Leo. IPO siku tutaongea lugha moja tu.
Simba hasa Mo na Manara wawe makini takukuru wapo kazini maswala ya kuonga waamuzi muache tuna mchongo wote wa kuhonga mechi. Acheni iyo tabia chezeni mpira uonekane. takukuru itawashughulikia mmesahau ya Malinzi.?
 
Simba hasa Mo na Manara wawe makini takukuru wapo kazini maswala ya kuonga waamuzi muache tuna mchongo wote wa kuhonga mechi. Acheni iyo tabia chezeni mpira uonekane. takukuru itawashughulikia mmesahau ya Malinzi.?
Peleka ushahidi TAKUKURU
 
Simba hasa Mo na Manara wawe makini takukuru wapo kazini maswala ya kuonga waamuzi muache tuna mchongo wote wa kuhonga mechi. Acheni iyo tabia chezeni mpira uonekane. takukuru itawashughulikia mmesahau ya Malinzi.?
Mwaka wa tatu huu mipango ni saba sasa umeanza kulalamika mapema namba hii ,hata Liverpool analalamikiwa anabebwa kwanini isiwe Simba,Barcelona kwenye ubora wake walisema wanabebwa,uefa Real Madrid wanasema wanabebwa ,ingekuwa Tanzania wangesema wananunua tumezoea MFA maji haishi kutapatapa .Simba Nguvu moja
 
Back
Top Bottom