Mo anahonga waamuzi

 
Simba hasa Mo na Manara wawe makini takukuru wapo kazini maswala ya kuonga waamuzi muache tuna mchongo wote wa kuhonga mechi. Acheni iyo tabia chezeni mpira uonekane. takukuru itawashughulikia mmesahau ya Malinzi.?
Peleka ushahidi TAKUKURU
 
Simba hasa Mo na Manara wawe makini takukuru wapo kazini maswala ya kuonga waamuzi muache tuna mchongo wote wa kuhonga mechi. Acheni iyo tabia chezeni mpira uonekane. takukuru itawashughulikia mmesahau ya Malinzi.?
Mwaka wa tatu huu mipango ni saba sasa umeanza kulalamika mapema namba hii ,hata Liverpool analalamikiwa anabebwa kwanini isiwe Simba,Barcelona kwenye ubora wake walisema wanabebwa,uefa Real Madrid wanasema wanabebwa ,ingekuwa Tanzania wangesema wananunua tumezoea MFA maji haishi kutapatapa .Simba Nguvu moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…