pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,863
- 2,757
Sio kila kitu lzm uige nitajie muungano wa Tanzania km Kuna sehem duniani Kuna muungano km huu lkn mpk leo tunaendelea na muungano wetu acha kukariri.Mambo ya kawaida kwa nchi gani.. acha kupotosha
Dah.. siumesema nchi zingine ni kawaida, nikakuomba nitajie sasa kosa liko wapi.Sio kila kitu lzm uige nitajie muungano wa Tanzania km Kuna sehem duniani Kuna muungano km huu lkn mpk leo tunaendelea na muungano wetu acha kukariri.
Unabisha ili mradi ubishe au unabisha ukijua unacho bishania? siku shangai ni wewe tena ligi na ianze.Mambo ya kawaida kwa nchi gani.. acha kupotosha
Ubishi uko wapi mkuu.. weka DATA kuwa nchi fulani na timu fulani ilikodishwa ili tufunge ukurasaUnabisha ili mradi ubishe au unabisha ukijua unacho bishania? siku shangai ni wewe tena ligi na ianze.
tunamkubali hivyo hivyo mdau.Kumekuwepo na mitizamo tofauti kuhusu matajiri Mo na Manji kujiingiza katika masuala ya soka. Tangu zamani Mo amekuwa akiisaidia Simba kwa hali na mali kwa manufaa na maendeleo ya klabu. Mo ameazimia kununua 51% ya hisa za klabu ya Simba kwa thamani ya Tsh bilioni 20. Aidha, nguli huyo wa kibiashara amemwaga noti zenye thamani ya Tsh 100 milioni ndani ya klabu ya Simba kwa ajili ya kusaidia usajili wa wachezaji vitasa. Hii yote ni kwa ajili ya manufaa na maendeleo ya klabu ya Simba SC.
Baada ya Manji kumsikia Mo alivyoazimia kuisuka Simba, roho ikamuuma. Eti sasa anataka kuikodi klabu ya Yanga kwa muda wa miaka 10 ili aitumie nafasi hiyo kupiga hela kwa manufaa yake binafsi kwa mgongo wa “ufadhili”. Anaona unyonyaji alioinyonya Yanga bado haujatosha, sasa ameamua kabisa kukodi klabu ili apige fedha vizuri.
Kwa lugha nyingine unaweza kusema kwamba Manji ni opportunist. Anatumia trick ya kupambana na Mo kwenye soka la watani wa jadi kwa manufaa yake binafi na familia yake. Eti mtu anakodi klabu kwa miaka 10 na wanachama wanamkubalia! Ama kweli hizi njaa za wanachama wa Yanga ni shida.
Manji amekuwa akiifaidi Yanga kisiasa kwa muda usiopungua miaka 20! Baada ya kuangushwa kwenye kura za maoni ndani ya chama chake (CCM) katika uchaguzi wa mwaka 2000 kwa sababu ya kugawa rushwa kwa wajumbe, Manji aliamua kununua uenyekiti wa Yanga ili ajijenge kisiasa. Umaarufu wake wa kisiasa ulishuka sana tangu alipojihusisha katika ugawaji wa rushwa katika kura za maoni, Jimbo la Temeke. Alipoingia uongozini ndani ya klabu ya Yanga, umarufu wake umepanda hadi ameshinda udiwani wa Kata ya Mbagala. Kuibuka kwake kuikodi klabu ya Yanga ni ushahidi tosha kwamba sasa anausaka ubunge katika uchaguzi mkuu ujao. Jamani tuwe makini sana na huyu K@njib@i…hana nia njema hata kidogo.
Unatumia vigezo gani kusema long term ni best option kuliko short term ?
I hope labda unajua content ya hiyo mikataba ya Manji na MO otherwise hakuna logic ya unachosema.
Mkuu, Manji kama anataka timu anunue fungu lake, hakuna mambo ya kukodi timu.
Hangaisha kichwa peruzi kwenye mitandao usingoje kutafuniwa uka subiri kumeza.Ubishi uko wapi mkuu.. weka DATA kuwa nchi fulani na timu fulani ilikodishwa ili tufunge ukurasa
Ha ha ha Umechemsha..!Hangaisha kichwa peruzi kwenye mitandao usingoje kutafuniwa uka subiri kumeza.
Wewe ipua.Ha ha ha Umechemsha..!
Mbona unakimbia kivuli chako.. ulidai kuwa kukodisha timu kwa waliotutangulia ni jambo la kawaida.. tukakuomba data bado hujatoa, sasa kwanini unasema niipue mimi ilhali ww ulisema mambo ya kawaidaWewe ipua.
Kama kuna wakati Yanga imepoteza dira ni hiki kipindi ambacho manji anawaongoza.
Ni kawaida sana tu na nina rejea kusema hivyo kama ni Data endelea kusubiri,Wengine ni waelewa nakuona wewe ndio unaye omba usivute wingi? Sasa siumeona vime chemka ndio ipua sasa.Mbona unakimbia kivuli chako.. ulidai kuwa kukodisha timu kwa waliotutangulia ni jambo la kawaida.. tukakuomba data bado hujatoa, sasa kwanini unasema niipue mimi ilhali ww ulisema mambo ya kawaida
Rejea comment yako ya mwanzo
Manji ni OPPORTUNIST hakuna mfano.